Manyema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2010
- 648
- 1,654
Ok poa kesho uwasalimie Dina Marios na Gea Habib mama wa hekaheka, wacha me nikalale naona wifi yako ameashaanza uchokozi.Me kipindi changu ni take one na movie leo, mpira wapi na wapi
Ok poa kesho uwasalimie Dina Marios na Gea Habib mama wa hekaheka, wacha me nikalale naona wifi yako ameashaanza uchokozi.Me kipindi changu ni take one na movie leo, mpira wapi na wapi
Me kipindi changu ni take one na movie leo, mpira wapi na wapi
Ok poa kesho uwasalimie Dina Marios na Gea Habib mama wa hekaheka, wacha me nikalale naona wifi yako ameashaanza uchokozi.
Kwa hiyo unataka akatazwe kwenda au..? Ulishaambiwa hawakilishi nchi huko na ndo maana huwa hawakabidhiwi bendera. Hukumsikia Nchimbi wakati ulee..??aibu inaandaliwa kutokea kwa mzee mandela wananchi mkae tayari maana hakutakua na simulizi za mtwara gesi,nape wala zitto zaidi ya uyu devil mistress WEMA kwenda mjengoni kutuwakilisha watanzania takriban 40 milion
Hivi hili shindano linatambulika KIFAITA ?
sory mkuu angalia vidole vyako vimepinda..
Wewe ndio ms***e kwani hujui kwamba pale kila mzawa wa nchi yake huwakilisha bendera ya taifa lake,acha ujinga wa kurukia mambo na kama hupendi topic muhimu ni kufunfga ubongo wako na ukahamie kwa wale mnaofanana.Hivi wewe kwa akili yako unaona Big Brother Afrika na uwakilishi wa nchi ni jambo la kujivunia kama taifa....acha us...e!
Kama ni kweli basi tutegemee kuonyeshwa Ndude yake Live! kwakua hakuna uchafu ambao hajatuonyesha kasoro Ndude zake!
sory mkuu angalia vidole vyako vimepinda..