stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 886
utapeli upo wa kuchukua pesa zako cash na utapeli wa kuchukua vitu/bidhaaa unazouza,
hawa wajamaa wamebobea kwenye utapel wa aina zote na wanatumia uchawi, usipokuwa makini au kama huna taarifa hao ni matapeli unalizwa,
nasikia hawa matapeli wa mtongani walishatolewa hadi kwenye tv na RPC lakini si wote waliobahatika kuona hiyo taarifa na hawa na mtandao wao wanaendelea kuwaliza watu, juzi jumatatu tumelizwa milioni 2 na hawa mbwa, inauma sana,
kama wewe ni mfanyabiashara, jihadhari nao watakupigia simu na kusema wana vitu/vifaa vya bei rahis wanauza kisha watakutapeli bila huruma milions/laki zako ulizotolea jasho lako,
ukiwa unauza vifaa/vitu watakupigia simu na kusema kuna mzee/kaka/baba yao anataka na kisha kusepa navyo na kubaki unashangaa
watakupigia simu watakuambia ushuke mtonngani, ukishuka watakuambia uchukue pikipiki hadi msikiti wa kichangani, hapo utapelekwa kwenye nyumba moja fulani hivi amabayo ni nzuri kidogo kulinganisha na nyumba za jirani,
nasikia ukiingia tu humu ndani lazima ulizwe, nasikia wameweka dawa hapo mlangoni, na hii nyumba wanaitumia kama ofis yao ya kuwatapeli watu hawaish hapo wala kulala hapo, kwahiyo kuwapata ni ngumu sana,
Hii ndio nyumba ambayo ukiingizwa tu lazima ulizwe, ipo mtongani kichangani ndani ndani,
NB
1. kama wewe ni mfanyabiashara unayetoa matangazo kwahiyo mtu yeyote anaweza kuwa na namba yako, kuwa makini na wanaokupigia na ujiridhishe kweli ni wateja,
2. kuwa makini sana kutotoa pesa bila kuona bidhaa unayouziwa na kuridhika nayo,
3. kuwa makini vitu/vifaa vyako unavyouza kutoka machoni mwako na hujui vinakwenda wapi na pesa hujapokea,
4. tafuta mwenyeji wa sehemu husika na uulizie kuhusu biashara uanyotaka kufanya kabla ya kuingia kichwa kichwa,
5. sali au jilinde unavyoweza kabla ya kukutana na watu usiofahamiana nao kwa lengo la biashara kwani matapeli wengi ni wachawi
hawa wajamaa wamebobea kwenye utapel wa aina zote na wanatumia uchawi, usipokuwa makini au kama huna taarifa hao ni matapeli unalizwa,
nasikia hawa matapeli wa mtongani walishatolewa hadi kwenye tv na RPC lakini si wote waliobahatika kuona hiyo taarifa na hawa na mtandao wao wanaendelea kuwaliza watu, juzi jumatatu tumelizwa milioni 2 na hawa mbwa, inauma sana,
kama wewe ni mfanyabiashara, jihadhari nao watakupigia simu na kusema wana vitu/vifaa vya bei rahis wanauza kisha watakutapeli bila huruma milions/laki zako ulizotolea jasho lako,
ukiwa unauza vifaa/vitu watakupigia simu na kusema kuna mzee/kaka/baba yao anataka na kisha kusepa navyo na kubaki unashangaa
watakupigia simu watakuambia ushuke mtonngani, ukishuka watakuambia uchukue pikipiki hadi msikiti wa kichangani, hapo utapelekwa kwenye nyumba moja fulani hivi amabayo ni nzuri kidogo kulinganisha na nyumba za jirani,
nasikia ukiingia tu humu ndani lazima ulizwe, nasikia wameweka dawa hapo mlangoni, na hii nyumba wanaitumia kama ofis yao ya kuwatapeli watu hawaish hapo wala kulala hapo, kwahiyo kuwapata ni ngumu sana,
Hii ndio nyumba ambayo ukiingizwa tu lazima ulizwe, ipo mtongani kichangani ndani ndani,
NB
1. kama wewe ni mfanyabiashara unayetoa matangazo kwahiyo mtu yeyote anaweza kuwa na namba yako, kuwa makini na wanaokupigia na ujiridhishe kweli ni wateja,
2. kuwa makini sana kutotoa pesa bila kuona bidhaa unayouziwa na kuridhika nayo,
3. kuwa makini vitu/vifaa vyako unavyouza kutoka machoni mwako na hujui vinakwenda wapi na pesa hujapokea,
4. tafuta mwenyeji wa sehemu husika na uulizie kuhusu biashara uanyotaka kufanya kabla ya kuingia kichwa kichwa,
5. sali au jilinde unavyoweza kabla ya kukutana na watu usiofahamiana nao kwa lengo la biashara kwani matapeli wengi ni wachawi