Search results

  1. Ntozi

    Gharama za engine 1zz,gear box na control box yake

    Wadau naomba kujua gharama ya kupata vifaa tajwa hapo juu kwa wenye uzoefu na hiyo biashara tafadhali.
  2. Ntozi

    Fastjet ilikuwa mkombozi wa wasafiri

    Kama serikali ipo serious na biashara huria,basi ilikuwa ni wakati mwafaka kujadiliana na Fastjet ili warudi kuendelea na biashara yao ya usafirishaji nchini. Jamaa walikuwa smart sana na waliliteka soko vizuri sana. Bei zao affordable, na walizingatia muda kweli kweli. Mambo ya serikali...
  3. Ntozi

    Chama tawala na Serikali yake mtavuna mnachopanda

    Bei juu ya mafuta na bidhaa zingine nchini,na kupanda Kwa gharama ya maisha Kwa ujumla,ni anguko litarajiwalo Kwa chama tawala na serikali yake. Haiwezekani lawama zitokanazo na ugumu wa maisha zitamalaki kila mahali katika jamii,na bado ukashinda uchaguzi wa kisiasa kihalali.Haiwezekani...
  4. Ntozi

    Wasaidizi wa Magufuli wabebe pia lawama zinazomhusu Magufuli

    Lawama Kwa Magufuli ni nyingi Sana miongoni mwa watu wakiwamo viongozi. Uozo mbalimbali uliofanyika kipindi kile, unafumuliwa kila siku. Ni vizuri sasa wale wote waliofanya kazi Kwa karibu na Magufuli wabebe sehemu ya lawama za utawala wa awamu ya 5. Hivi Kwa mfano Baraza la mawaziri lilikuwepo...
  5. Ntozi

    Kujitolea kufanya kazi isiwe kigezo cha kupata ajira

    Niko hapa nasikiliza michango ya baadhi ya wabunge wetu wakisisitiza kuwa wanaojitolea wapewe kipaumbele katika ajira. Ikumbukwe kuwa ajira za wazi na ukweli zilikoma zaidi ya miaka 7 sasa,unaposhawishi watu kujitolea Kwa muda mrefu kiasi hicho unategemea wanaishije? Yaani mtu akae anajitolea...
  6. Ntozi

    Ijumaa Kuu na katazo la kula nyama

    Naombeni anaelijua andiko linalokataza wakristo kula nyama siku ya Ijumaa kuu. Najua ni suala la kiimani, lakini msingi wa Imani ya kikristo ni Biblia, hivyo tujuzane hilo andiko liko kitabu gani ndani ya Biblia.
  7. Ntozi

    Serikali itoe tamko juu ya watumishi wastaafu Serikalini

    Watumishi hawa wanaporudi mtaani huko,wanakutana tena na amri ya wenyeviti wa mitaa na maelekezo ya kwenda kwenye shughuli za maendeleo za sijui kuchimba mitaro,ujenzi wa sekondari na hivyo vituo vya afya. Ikumbukwe kuwa huyu mtumishi katoa Sana Kodi Kwa nchi hii inayokatwa katika mshahara...
  8. Ntozi

    Hii kauli ya Membe amesamehewa kwani kosa lake ni lipi?

    Chama kinashindwa kusema wazi kuwa ndani ya miaka 6 iliyopita,kulikuwa hakuna demokrasia ndani ya chama,na haki ilipotea kabisa. Kusema ukweli ilikuwa kosa kumkosoa mwenyekiti,na mengine yafananayo na hayo,ndiyo yaliyomgharimu Membe.Sasa kosa haramu lililomfukuzisha uanachama,ambalo kwalo...
  9. Ntozi

    Katika ulimwengu wa kujenga na kudumisha demokrasia,kukimbizana na wapinzani,ni kukaribisha lawama kimataifa

    Ukifuatilia suala la Mbowe tangu akamatwe na kufunguliwa kesi mahakamani,kumekuwa na lawama nyingi Sana Kwa serikali yetu na hasa juu ya utendaji kazi wa jeshi letu la polisi. Kitendo cha maofisa wa balozi za nje kuhudhuria mahakamani kufuatilia kesi ya Mbowe,ilikuwa ni kiashiria kibaya sana Kwa...
  10. Ntozi

    Nitajuaje kuwa Gari ninayoendesha ni AWD?

    Msaada kwenu wataalam,najiridhishaje kuwa Gari ninayoendesha ni AWD? Maana unakuta mafundi wanakwambia tu kuwa hiyo Gari siyo rahisi kukwama huko vijijini maana ni AWD. Lakini nitafanya nini ili nijiridhishe? Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
  11. Ntozi

    King'amuzi cha Azam kushindwa kufanya kazi vizuri wakati wingu na mvua

    King'amuzi cha Azam TV mnafeli Wakati wa mawingu. Sijafuatilia kuhusu vinang'amuzi vingine kipindi cha Mawingu na mvua inakuweje.Lakini Azam TV pamoja na kuwa na vipindi vizuri lakini hiyo kero ya scratching imezidi Sana.
  12. Ntozi

    Gari kuzima ukiweka gear ya reverse inasababishwa na nini?

    Msaada kwenu wakuu, ukiweka D inakwenda bila shida, lakini kama ukiengage R Gari inakuwa kama inakata mafuta na kisha inazima. Hii kero inasababishwa na nini?
  13. Ntozi

    Kwanini Serikali ilianzisha miradi mikubwa Kwa fedha ambazo hazipo?

    Ukisikiliza kinachoongelewa juu ya mikopo ya nchi Kwa sasa,unagundua kuwa serikali ilianzisha miradi mikubwa kama SGR,Kwa fedha ambazo hazikuwepo. Yaani ina maana serikali ilitegemea itakopa ili kukamilisha hiyo miradi? Walijuaje kuwa wataupata huo mkopo?Ina maana walikuwa tayari kuja...
  14. Ntozi

    Vita yetu tangu uhuru vya kupambana na maadui ujinga, maradhi na umasikini tunasonga mbele ama tumezingirwa?

    Ukitembelea vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya nchini utakutana na mambo makubwa mawili. Kwanza ni mlundikano wa wagonjwa,na pili ni uhaba wa madawa na vifaa tiba. Zaidi ya robo tatu ya hao wagonjwa, ni Yale yanayozuilika. Hapo ni hakuna elimu yoyote ya maana ambayo ingesaidia...
  15. Ntozi

    Tume ya Uchaguzi iliyopo ingeonesha uadilifu kwa kujiuzulu

    Kila kona waelewa wote wanataka iwepo tume huru ya uchaguzi, yamesemwa hata na wana CCM wakongwe na wenye heshima zao ndani ya nchi. Kuna wakati hata Rais wetu alikemea mambo fulani yaliyofanywa na tume, kuwa yasijirudie katika chaguzi zijazo Kwa kuwa hayana mashiko. Sasa hivi kuna kikosi kazi...
  16. Ntozi

    Awamu ya pili na awamu ya nne wananchi walifurahia maisha

    Bila kupepesa macho,na bila kuhangaika na itikadi za vyama,na pia ukiachana na uchambuzi wa kitaalamu,awamu ya Mzee Mwinyi na awamu ya kikwete,ndizo awamu ambazo mwananchi wa kawaida alifurahia maisha. Pamoja na mapungufu ya kiutawala yanayoongelewa katika awamu hizo,lakini pesa ilipatikana...
  17. Ntozi

    Sinema ya Shilingi

    Kuna sinema ilikuwa inarushwa Azam TV sinema zetu ikijulikana Kwa jina la Shilingi.Ilikatishwa ghafla ikiwa katikati ya utamu.Nisaidieni namna ya kuipata full movie Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
  18. Ntozi

    Pole pole kuna kitu anatamani kusema lakini anasita

    Ukimsikiliza huyu bwana pole pole,na ukiangalia hata body language yake,hakika unaweza kusema huyu bwana kuna kitu anatamani kusema lakini aidha dhamira inamsuta,au bado Hana hakika na kitakachomsibu baada ya hapo. Wakati ule akihudumu kama katibu mwenezi wa chama tawala,chama ambacho mwenyekiti...
  19. Ntozi

    Ombi la Zitto Kabwe kwa Rais Samia

    Kauli ya Zitto Kwa Rais juu ya kumsamehe mwenzao ambae hakuwepo mkutanoni Kwa changamoto za kisheria,ni kauli ya kiutu inayolenga pia kujenga mshikamano wa Amani Kwa sasa na siku zijazo. Lakini wengine wanajiuliza kwamba Zitto Kwa nafasi yake, angeweza kuonana na Rais huko Ikulu na kumwomba juu...
  20. Ntozi

    PSPF hii sio sawa

    Mtumishi kabla ya tarehe ya kustaafu,anaambiwa apeleke nyaraka na vielelezo mbalimbali miezi 6 kabla ya tarehe ya kustaafu, lakini urasimu wa mafao upo pale pale,kuna tatizo gani? Au ndiyo kufanya kazi Kwa mazoea? Iko wapi maana ya kuwahisha nyaraka mapema? Miezi inafika zaidi ya mitano mtu...
Back
Top Bottom