Serikali itoe tamko juu ya watumishi wastaafu Serikalini

Ntozi

JF-Expert Member
Feb 1, 2021
226
299
Watumishi hawa wanaporudi mtaani huko,wanakutana tena na amri ya wenyeviti wa mitaa na maelekezo ya kwenda kwenye shughuli za maendeleo za sijui kuchimba mitaro,ujenzi wa sekondari na hivyo vituo vya afya.

Ikumbukwe kuwa huyu mtumishi katoa Sana Kodi Kwa nchi hii inayokatwa katika mshahara wake.Na anapostaafu kazi serikalini,ni Kwa ajili ya kupumzika Kwa maisha yake yaliyosalia.sasa haya mambo ya kupelekeshana tena, eti kazi za maendeleo,naona haijakaa Sawa.

Serikali ingetoa maelekezo ya kuwaacha hawa watu wasipelekeshwe kwenye mikazi mingine huko.Hawa ni wa kuombwa kama ana chochote atachangia,kama Hana asilazimishwe.

Waacheni wastaafu wapumzike
 
Umaskini unawafanya wadharaulike, mwenyekiti wa mtaa akiona nyumba yenye geti kubwa anaisogelea kwa heshma.
 
Watumishi hawa wanaporudi mtaani huko,wanakutana tena na amri ya wenyeviti wa mitaa na maelekezo ya kwenda kwenye shughuli za maendeleo za sijui kuchimba mitaro,ujenzi wa sekondari na hivyo vituo vya afya.

Ikumbukwe kuwa huyu mtumishi katoa Sana Kodi Kwa nchi hii inayokatwa katika mshahara wake.Na anapostaafu kazi serikalini,ni Kwa ajili ya kupumzika Kwa maisha yake yaliyosalia.sasa haya mambo ya kupelekeshana tena, eti kazi za maendeleo,naona haijakaa Sawa.

Serikali ingetoa maelekezo ya kuwaacha hawa watu wasipelekeshwe kwenye mikazi mingine huko.Hawa ni wa kuombwa kama ana chochote atachangia,kama Hana asilazimishwe.

Waacheni wastaafu wapumzike
Wastaafu waheshimiwe..mana wameitumikia hii nchi kwa weredi..wamelipa kodi za hii nchi..acheni kuwasumbua.

#MaendeleoHayanaChama
 
Watumishi hawa wanaporudi mtaani huko,wanakutana tena na amri ya wenyeviti wa mitaa na maelekezo ya kwenda kwenye shughuli za maendeleo za sijui kuchimba mitaro,ujenzi wa sekondari na hivyo vituo vya afya.

Ikumbukwe kuwa huyu mtumishi katoa Sana Kodi Kwa nchi hii inayokatwa katika mshahara wake.Na anapostaafu kazi serikalini,ni Kwa ajili ya kupumzika Kwa maisha yake yaliyosalia.sasa haya mambo ya kupelekeshana tena, eti kazi za maendeleo,naona haijakaa Sawa.

Serikali ingetoa maelekezo ya kuwaacha hawa watu wasipelekeshwe kwenye mikazi mingine huko.Hawa ni wa kuombwa kama ana chochote atachangia,kama Hana asilazimishwe.

Waacheni wastaafu wapumzike
WAZO ZURI SANA WAZEE WETU WASIBUGHUDHIWE kama Marais Wastaafu
 
Back
Top Bottom