Hellow mkuu, pole kwa usumbufu ulioupata, tarehe ndio hizo hizo unazozijua wewe, ila tatizo ni moja tu linatokea ndio maana wanakwambia umekosea, fatilia kwa makini.
Kwenye sehemu ya kuandika tarehe na mwaka, kuna kibox wameweka kalenda yao ikionyesha tarehe mwezi na mwaka, hivyo ni automatic...
Hellow wana JF, hope wazima. Nahitaji kachukua course ya interior designer.
Kwa sasa hivi niko Dar es salaam na ningependelea chuo nikupate Mwanza ila sikijui hata kimoja, lakini kama ntakusa Mwanza hata Dar ntasoma.
Hivyo wapendwa kwa anaekijua a nijulishe ntashukuru.
Mtoa mada habari yako?
Umeshaangalia tena selection za walimu, maana zimetoka. Kama bado nakushauri fungua huu uzi utakusaidia kujua kama umechaguliwa au laa mkuu.
Ajira mpya za walimu awamu ya pili hizi hapaFungua link ya pili inayoonekana ya kwanza kama haijakaa vizuri.
Kila la kheri
CASE OF SPELUNCEAN EXPLORERS
The case is based on a statute N.C.S.A (N.S.) which states in specific terms in Section 12-A that ‘Whoever Lawfully Takes The Life Of Another Shall Be Punished By Death.'
The facts of the case are as follows:
The four defendants and Roger Whetmore were...
Habari za usiku huu wapendwa, natumaini mnaendelea vizuri kabisa.
Swali langu ni dhidi ya Kenya kutaka kuhalalisha matumizi ya madawa ya kulevya unalionaje hili mdau?
Hii imetokana na kuwa udhibiti umekuwa mgumu, hivyo wanapendekeza madawa ya kulevya yawe halali.
Hii nimesikia BBC...
Anaweza kupata bail, maana hawezi kunyimwa kwa kigezo cha kosa lake la murder la nyuma, ila kama alifungwa kwa kosa lolote kwa miaka kadhaa ndo hawezi kupewa.
Unaweza kuangalia kifungu namba 148(5) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (Crimal Procedure Act ya Tanzania.
cc: Unkwn
Habari za leo wana JF, na wanajamvi wa jukwaa hili kwa ujumla, natumaini nyote mu wazima wa afya na kama kuna mgonjwa na mwenye matatizo mbali mbali basi mwenyezi mungu amsaidie.
Napenda kuwashirikisha hiki kitu na nina matumaini nitapata ushauri mzuri kutoka kwenu na utakao weza kunijenga kwa...
Kama mmeishi kuanzia miaka miwili na kuendelea japo hamna ndoa, na watu wakaichukulia hiyo kama ndoa kwa waliokuwa wakiwaona, hii italeta dhanio la kisheria kuwa hiyo ni ndoa, naomba nieleweke si ndoa, ni dhanio tu kuwa ni ndoa lengo kubwa ni pamoja na,
Kama kuna watoto mmezaa pamoja, wapate...
Mkuu unaweza ukasoma hapa kama aweza kuwa msaada kweli. Chukua taadhali kwanza na ujiakikishie kama ni kweli lakini, pole.
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/665262-kwa-wale-mnaosumbuliwa-na-ugonjwa-wa-ini.html
Soma hapa ndugu uenda ukatoka na kitu na usipoelewa tuulizane na tujadili
Documents Mistakenly Signed
Question:
What is the plea of non est factum?
Answer:
LORD REID
The plea of non est factum obviously applies when the person sought to be held liable did not in...
Wadau huko tulishatoka zamani, tunasubili law school, na kwa mdau aliyeshauri kuhusu law of negligence i concur with you, japo hatujapishana maana naongelea tort of negligence, hivyo hata nikichukua kitabu cha tort... siwezi kosa negligence na hii case mama kwenye tort ya aina hiyo ndio...
No sio assignment, na ingekuwa assignment no need kuileta hapa, instead ningegoogle na vitabu pia vya Law of tort ni vingi kupatia references.Tuna ujuzi ila kila mtu anaelewa tofauti mkuu so your contribution over this itasaidia kwangu na kwa wengi pia. Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.