Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake

Hayo ni mawazo yako mkuu.Usizani kile unachowaza wewe na mwingine atawaza hivyo.Magonjwa ni mengisana yanayowasumbua watu,sizani kama yote yanaweza yakatibika bule kama we unavyozani,pia sizani hiyo kauli uliyoitamka kama ikosawa!!maana haiwezekani mtu akakuandalia dawa na kukutumia bule hapo sijakupata.Jipange mkuu naona umekurupuka we umetibiwa bure mara ngapi hadisasa?!!.au unatafuta umaarufu kupitia jina la mtu mwingine!! acha kuwa bendera topic kama haikuhusu unapita tu wenye matatzo ni wengi acha mzaha.
 
Hayo ni mawazo yako mkuu.Usizani kile unachowaza wewe na mwingine atawaza hivyo.Magonjwa ni mengisana yanayowasumbua watu,sizani kama yote yanaweza yakatibika bule kama we unavyozani,pia sizani hiyo kauli uliyoitamka kama ikosawa!!maana haiwezekani mtu akakuandalia dawa na kukutumia bule hapo sijakupata.Jipange mkuu naona umekurupuka we umetibiwa bure mara ngapi hadisasa?!!.au unatafuta umaarufu kupitia jina la mtu mwingine!! acha kuwa bendera topic kama haikuhusu unapita tu wenye matatzo ni wengi acha mzaha.

Wewe ni mzaramo?
 
Kama nikweli unahitajika kupewa Moyo.. naimani watakuja wewe subiri.
 
Naomben mnisaidie wanajamvi,

Tangu mwaka 2007 niligundulika kua na homa ya ini (Hepatitis B) lakini sikufatilia kujua matibabu yake. Ilipofika mwezi wa kwanza mwaka huu tulimpoteza shemeji yetu kwa ugonjwa huu.

Niliogopa sana na nikaenda kupima tena. Madaktari wakasema ini langu bado halijaanza kuathirika.

Wanajamvi, kwa anaefahamu ni vyakula gani nile au vitu gani nifanye ili ini langu lisiathirike naomba anisaidie.
 
Pole sana!Nina dawa nzuri sana ya asili inayotibu tatzo hilo kwa mda wa siku saba(7)tu,nidawa inayosaidia watu wengimno,kwa mengi zaidi ntafute:0759217720
 
Naomben mnisaidie wanajamvi,

Tangu mwaka 2007 niligundulika kua na homa ya ini (Hepatitis B) lakini sikufatilia kujua matibabu yake. Ilipofika mwezi wa kwanza mwaka huu tulimpoteza shemeji yetu kwa ugonjwa huu.

Niliogopa sana na nikaenda kupima tena. Madaktari wakasema ini langu bado halijaanza kuathirika.

Wanajamvi, kwa anaefahamu ni vyakula gani nile au vitu gani nifanye ili ini langu lisiathirike naomba anisaidie.

Mkuu unaweza ukasoma hapa kama aweza kuwa msaada kweli. Chukua taadhali kwanza na ujiakikishie kama ni kweli lakini, pole.

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/665262-kwa-wale-mnaosumbuliwa-na-ugonjwa-wa-ini.html
 
Siyo kweli kwamba kila ugonjwa unaweza kutibiwa bure na hata hivyo ili kuingia jf lazima uweke vocha kwenye simu sasa kama MziziMkavu anatibu bure humu basi atakuwa anatumia intaneti bure na pia si kweli kuwa anatibu bure nimeshaona akiuza dawa za nguvu za kiume na dawa za kupunguza uzito.

Subiria watakuja wenye hela mkuu,.

Wengine tushazoe Dr MziziMkavu mambo kama haya hujitolea bure kusaidia watu maana Mungu Pekee ndiye anayemlipa hakuna binadamu atakayeweza kumlipa,.
 
Nimepimwa nimeambiwa nina hepatitis C, ni ugonjwa gani huu na unatibiwa je?
Naomba msaada wenu.
 
Pole sana mkuu hepatitis ni inflamation of the liver. Kwanza nitangulize pole kwako maana hepatits ni ugonjwa usiyekuwa na tiba. Hepatits imegawanyka makundi mengi kuna HBV,hepatitia C virus n B. Hepatitis C huenezwa kwa njia yaku jamiana na body fluid such us(sperm,sweat,saliva,tears, na hata kuguswa na damu ambayo iko infected) kwa wale wataalam wa medical wata kubaliana nami kuwa hepatitis ni gonjwa hatari kuliko ukimwi.kama umegundulika kuwa unayo virus infrction ni bora ufuate ushari wa dr ili upewe dawa zaku managment kwan virus huwa hawawez tibiwa kwan hukaa ndani ya cell....!
 
Nimepimwa nimeambiwa nina hepatitis C, ni ugonjwa gani huu na unatibiwa je?
Naomba msaada wenu.
Pole sana. Mdau hapo juu amekupa brief ya ugonjwa. Kama una facilities just google hepatitis c virus utapata maelezo au elimu ya kutosha. Amini uponyaji toka kwa Mungu. Usikate tamaa. Mpeleke na love partner wako akapime.
 
Nimepimwa nimeambiwa nina hepatitis C, ni ugonjwa gani huu na unatibiwa je?
Naomba msaada wenu.

Ugonjwa wa Hepatitis C

Na tuhahitimisha kipindi chet cha leo kwa kuelezea ugonjwa wa Hepatitis C. Ugonjwa huu husabisha uvimbe wa ini na unaotokana na virusi vinavyojulikana kama HCV. Maambukizo ya Hepatitis C mara nyingi hayana
dalili lakini virusi vya ugonjwa huo vinapokaa kwa muda mrefu mwilini husababishwa vidonda kwenye ini, ini

kushindwa kufanya kazi na pia kensa ya ini. Virusi vya HCV huambukizwa kwa damu kutoka kwa muathiriwa lakini mara nyingi kupitia kujidunga dawa za kulevya mishipani kwa kutumia sindano zilizoambukizwa.


Chanjo yake


Hakuna chanjo ya homa ya ini aina ya C. Inakadiriwa kuwa karibu watu milioni 150 hadi 200 duniani kote wameambukizwa virusi vya Hepatitis B. Ugonjwa huu huwaathiri tu binadamu na nyani. Virusi vya homa ya ini

aina ya C hubakia kwenye ini kwa karibu asilimia 85 ya watu walioambukizwa, na ugonjwa huu huweza kutibiwa kwa dawa. Baadhi ya dawa hizo ni peginterferon na Vibarin. Asilimia 50 hadi 80 ya wanaoathirika hupona kabisa ugonjwa huo baada ya matibabu na wale ambao husindwa kupona virusi vya HCV huweza

kuwasababishia vidonda katika ini na kensa ya ini. Wale ambao hupata vidonda vya ini huweza kuatikwa ini, ambapo kesi za ugonjwa huo ndio sababu kuu inayowafanya watu wengi zaidi dunaiani wapandikizwe maini au wafanyiwe liver transplant. Hakuna chanjo dhidi ya ugonjwa wa Hepatitis C.

Ukikosa Dawa Hospitalini ya Ugonjwa huo wa Hepatitis C nitafute mimi Dawa ya kukutibu na ukapona ninayo Ukinitaka mawasiliano na mimi bonyeza hapa.
Mawasiliano

 
Mkuu mzizi mkavu PEGISTERFERON&VIBARIN mara nyngi huwa nidawa zaku managment kwan amna virus anaye weza kutibiwa.!! Tiba inayo tumika zidi ya types zote za hepatitis ni kupandikiza ini ila bahada ya muda huweza kujirudia kwan virus hao huweza kuleta bidonda kwenye ini yani(CIRRHOSIS) kwa ushauri wangu ayumie hizo dawa ikishindkana ndo plan B yakupandkiza ini ifuate..!!! Pia mkuu mda mwingine rapid test kit huwa zina kuwa invald ivyo ni better ukienda rudia kufanyiw investigation sehem nyngne..!! Dalili za hepatitis ni (fever,yellowish skin and eyes,abdominal pain and weakness)kama auna hzo dalili pia tilia shaka majbu yako.
 
Ndugu wadau,

mie nimekutwa na ugonjwa wa hepatitis b. Nimepima Muhimbili na Regence. Matibabu nimeandikiwa injection peginterferon nefa_ZA( peg syst )180 mog weekly for 48 weeks.

Nimejaribu kuulizia Phamarcy kubwa hapa dar hawana. Ila mwingine kaniambia hata ikipatikana Gharama yake yake kwa sindano ni sh 480,000Tsh ambayo ni sawa na sh 24,millionkumaliza dose.

Wadau , je hiyo bei ni sahihi? Je naweza kutumia dawa gani mbadala kwani kama bei ni hiyo basi mimi maisha nayakabidhi kwa mungu kwani uwezo sina.

Naombeni msaada.

Mnisamehe kwa kutopangilia vizuri kwani nimechanganyikiwa, natami hata chuo niache

Asanteni
 
Back
Top Bottom