Mtu anapokuwa amefunguliwa kesi ya murder highcourt akawa aquited, halafu baadae akacommit theft nakushtakiwa district court .
Je hakimu ana uwezo wakumnyima bail kwasababu alifawahi shitakiwa kwakosa la murder nakushtakiwa high court?
Please waheshimiwa naomba mnisaidie majibu.
Je hakimu ana uwezo wakumnyima bail kwasababu alifawahi shitakiwa kwakosa la murder nakushtakiwa high court?
Please waheshimiwa naomba mnisaidie majibu.