Serikali ya Kenya kuhalalisha madaya ya kulevya unashauri nini?

Langu

Member
Nov 20, 2011
37
9
Habari za usiku huu wapendwa, natumaini mnaendelea vizuri kabisa.

Swali langu ni dhidi ya Kenya kutaka kuhalalisha matumizi ya madawa ya kulevya unalionaje hili mdau?

Hii imetokana na kuwa udhibiti umekuwa mgumu, hivyo wanapendekeza madawa ya kulevya yawe halali.

Hii nimesikia BBC Swahili mda si mrefu hapa Star TV.

Unaonaje kuhusu ili na wananchi wa Kenya na Nchi za jirani endapo sheria ikipitishwa na kuhalalisha ili suala upande wa athari na umuhimu wake?

Kiukweli sioni kama itafaa zaidi ya kuangamiza nguvu kazi kwakweli.
 
Iingie UBIA NA JNIA NASISI TUNUFAIKE NAHAAYA YA AIRPORT ATUJUI HATA SIKUMOJA YANAENDGA WAPI
 
Utaasikiia SOON WAZEE WA SRC PAMOJA NA KUANDIKA BBC

YA TOMATO KR CHILL
 
Serious tuingie ubia? Tutaisha aisee cc: Pdidy

Mkuu MARA HAMSINI TUAMBIWE YAALEMADAWA TULIYOKAMATA JANA TUMEUZA KENYA KIASI FULANI

MPAKALEO HII SIJAJUA YANISHIAGA WAPI RUWAOKKO
 
Last edited by a moderator:
Kenya ikihalalisha madawa ya kulevya itabidi wajenge Hospitali kubwa ambayo itaweza kuwatibu watu wapatao millioni tano ambao wako tayari ADDICTED na wanahitaji kutibiwa.

Swali ni kwanini wanataka kuhalalisha sumu hiyo?

Kwani maofisaa wanaohusika na ulinzi wa nchi mipakani na viwanjani vya ndege na Forodhani wamekuwa wavivu au wazembe hata kulinda nchi yao?

Hii inadhihirisha ni kiwango gani uvivu huu na uzalendo umepotea hata ikafikia kuwa Kenya iliyokuwa ikipendwa na kusifika duniani kote kwa amani na utulivu na ulinzi wenye nguvu na wakitaalamu waliokuwa nao umepotelea wapi?

kuhalalisha madawa ya kulevya nchini bila shaka hii ina maana mbili,

Maana ya kwanza ni kwamba bila shaka yoyote kuna VIGOGO nchini wamefaidika na kuingiza sumu hiyo.

Na maana ya pili ni kwamba sababu ya kushindwa wanausalama kudhibiti sumu hiyo bila shaka WANAJISHIBIA HONGO kutoka kwa hao VIGOGO kama ni wanasiasa au VIGOGO ambao ni matajiri wa sumu hiyo.

Kwa kawaida watu kama hao hawaipendi nchi hii na ndio maadui wakubwa nchini kuliko wale "wanaoitwa magaidi",hawa matajiri wa SUMU hawana dhamiri wala hawamuogopi Mungu na wako tayari kuuza nchi yao kwa ajili ya pesa.

Serikali inatakiwa ijirudishe na hatua kama hiyo kwasababu hii itakuwa ni AIBU KUBWA KWA VIZAZI VINAVYOKUJA BAADAE na hamutasamehewa na mutashitakiwa na watoto wetu mbele ya Mungu kwa kitendo hicho.
A%20S%20angry.gif
A%20S%20angry.gif
A%20S%20angry.gif
 
Umenena vizuri mkuu kwakweli, kufanya hivi ni janga tena sio kwao tu na kwetu Tz pia.

cc: Kijana Style
 
Last edited by a moderator:
Habari za usiku huu wapendwa, natumaini mnaendelea vizuri kabisa.

Swali langu ni dhidi ya Kenya kutaka kuhalalisha matumizi ya madawa ya kulevya unalionaje hili mdau?

Hii imetokana na kuwa udhibiti umekuwa mgumu, hivyo wanapendekeza madawa ya kulevya yawe halali.

Hii nimesikia BBC Swahili mda si mrefu hapa Star TV.

Unaonaje kuhusu ili na wananchi wa Kenya na Nchi za jirani endapo sheria ikipitishwa na kuhalalisha ili suala upande wa athari na umuhimu wake?

Kiukweli sioni kama itafaa zaidi ya kuangamiza nguvu kazi kwakweli.
Hizo habari zako umezisikia TBC na sio BBC serikali makini kama ya KENYA haiwezi kuruhusu ujinga. refer your obnoxious source again.
 
Back
Top Bottom