Habari wakuu!!!
Ninaomba mtu yeyote aliyewahi kuugua CML-chronic myeloid leukaemia au anaumwa ugonjwa huu au kama unamfahamu mtu yeyote mwenye hili tatizo uni PM
Mpaka sasa nimejitaidi kupata idadi ya watu wasio pungua 30 ila naomba kama kuna mwingine usisite kuwasiliana na mimi..
Dhumuni ni...
Hapa bugando hakuna huduma ya mahabara kwa sababu hakuna maji....kwa hiyo kama kuna mtu anahitaji hudama ya maahabara hapa Bugando asije leo labda aje kesho.......
Salamu kwa wote!!!
Inasemekana kuwa project ya 24 Hours imekufa ("project is now dead in the water.")
taarifa zaidi Bofya hapa au soma maelezo hapo chini!!!
Time runs out for 24 the movie
Antoine Fuqua, who was slated to direct the film of the hit TV show about spy Jack Bauer, claims it is...
Salamu kwa wote!!!
inasemekana kuwa project ya 24 Hours imekufa ("project is now dead in the water.")
taarifa zaidi Bofya hapa au soma maelezo hapo chini!!!
Time runs out for 24 the movie
Antoine Fuqua, who was slated to direct the film of the hit TV show about spy Jack Bauer, claims it is...
Habari za asubuhi wadau
nipo singida nimepanda najmunisa naelekea dar..
Kwenye hili basi nimekutana na harufu ya ajabu haieleweki.
Mwenye kujua chanzo cha harufu ndani ya basi naomba anijuze.
Habari za j2 wadau
Kutoka kwa John Mnyika>>>>>....Leo saa saba hadi tisa alasiri,mkutano wa mtandaoni kutoa maoni juu ya suala la SSRA na NSSF! Mjadala utakuwa ktk: mnyika.blogspot.com!
Mnyika: Nalazimika kukusanya maoni kwa hatua ya sasa kupitia njia ya mtandao kutokana na udharula wa hoja...
Kuvunjwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini.Maoni yangu kama Waziri Kivuli wa Nishati na Madini na mbunge:
JOHN MNYIKA: Kufuatia uamuzi wa Spika wa Bunge jana jumamosi tarehe 28 Julai 2012 kukubali kuvunja Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini nimetakiwa kutoa maoni yangu...
wakuu!!!
Ninaomba kama unamjua mtu yoyote ambaye unamfahamu anaumwa/aliwai kuugua Chronic Myeloid Leukemia (CML) anitafute kwa email:shekywasheky@hotmail.com au uni PM humu kwenye JF
Dhumuni ni kuanzisha
Patients Support Group" hapa kwetu Tanzania...this will help us to:
share information...
Habari..
Wanajamvi je kuna mtu yoyote unayemfahamu anatatizo au alikuwa na tatizo la Chronic Myeloid Leukemia?
Naomba uwasiliane na mimi kwa email:shekywasheky@hotmail.com
Kwa habari za harakaharaka za kuvunjikavunjika inasemekana................
Kikao kilichoisha muda huu cha speshalist na kosaltants wa muhumbili/moi na muhas kimefikia maamuzi ya kusitisha huduma zote including imejensi infact hospital imeamuliwa ifungwe kamati pia itakutana leo na viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.