Habari za asubuhi wadau
nipo singida nimepanda najmunisa naelekea dar..
Kwenye hili basi nimekutana na harufu ya ajabu haieleweki.
Mwenye kujua chanzo cha harufu ndani ya basi naomba anijuze.
Kulikuwepo na Fuko mmoja yuko langoni mwa shimo wakati Fuko mwingine yuko chini shimoni.........mara Fuko aliyeko langoni akasikia vishindo vinakaribia eneo karibu na lango la shimo......akakimbilia ndani kumfuata Fuko aliyeko chini kumuuliza huko/kule juu kuna vishindo ni vya akina nani!.............
Kulikuwepo na Fuko mmoja yuko langoni mwa shimo wakati Fuko mwingine yuko chini shimoni.........mara Fuko aliyeko langoni akasikia vishindo vinakaribia eneo karibu na lango la shimo......akakimbilia ndani kumfuata Fuko aliyeko chini kumuuliza huko/kule juu kuna vishindo ni vya akina nani!.............
Sox zimechafua hali ya hewaHabari za asubuhi wadaunipo singida nimepanda najmunisa naelekea dar..Kwenye hili basi nimekutana na harufu ya ajabu haieleweki.Mwenye kujua chanzo cha harufu ndani ya basi naomba anijuze.
Ni magwanda hayo yametota jasho yanatoa kikwapa.
Ni magwanda hayo yametota jasho yanatoa kikwapa.
Unapanda bus la bei chee na utegemee linukie.