Labda mtoto wako tu,Mimi watoto wangu wote wamepata chanjo zote zinazotakiwa na wana afya njema sana serikali haiwezi kuruhusu viletwe vitu vinavyoweza kudhuru wananchi wake iwe madawa,chakula nk.na ndio maana Kuna idara au taasisi zinazo shughulika na ukaguzi wa hivyo vitu na hiyo ndio kazi ya...
Wangetaka kutumaliza wangefanya hivyo kupitia chanjo za watoto,dawa za kufubaza virusi vya ukimwi,dawa mbalimbali za kutibu magonjwa,simu za mkononi,nk.hivyo ondoa wasiwasi .maana wasiwasi mwingine uleta ujinga machoni pawatu kama tulivogoma KUPATA chanjo ya COVID tukihofia kuhujumiwa wakati...
Kazi zilizofanywa na mh jakaya kikwete ni kama ifuatavyo
1,miundombinu ya Barabara alijenga Barabara za lami kuunganisha karibu mikoa yote ya NCHI hii .Leo mtu unaweza Toka mbeya mpaka masasi kwa siku moja tu.
2.ELIMU.alijenga shule za kata NCHI mzima na kuondoa mfumo wa wana funzi kuchaguliwa...
Badala ya kumshukuru mh rais Samia suluhu hassan ,mm naona katika hili na mambo mengine ni Bora tukampongeza kwa kuisimamia vizuri Katiba ALIYO apa kulinda na kuisimamia.hongera sana mama .
Hapa tofauti ni kwamba tundu lissu hajaongelea kiungwana kaongelea Hilo jambo kisheria .maana kama Katiba inaruhusu jambo au inakataza jambo hakuna mwenye mamlaka kufanya tofauti.ukiona hivyo ujue Kuna tatizo mahala
Kwa tunaokuamini na kupenda kujifunza kwako kama mwanasheria,tushike lipi kati ya hizi kauli zako mbili .
1.lile swali ulilo muuliza mh magufuli kuhusu yeye kuzuia mikutano ya hadhara wakati Katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania inaruhusu na kutambua kama haki ya kila chama cha siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.