Zitto ang'atuka uongozi ACT Wazalendo. Mbowe atang'atuka lini CHADEMA?

Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM



My Take
Hongera bwana Zitto kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya, kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Acha wazito kabwela wangatuke,ila mwepesi mjanja bado tunakazi naye hadi wenyewe tuseme😎
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM



My Take
Hongera bwana Zitto kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya, kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Siku CCM itakapoachia madaraka
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM



My Take
Hongera bwana Zitto kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya, kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Mbowe ndio kwanza anahitajika CHADEMA katika kipindi hiki zaidi kuliko wakati uliopita!
 
kiongozi wa kiimla wa chadema,
ukimuangalia na kumpima vizuri kisiasa, anayo nia ya kuachia ngazi ila moyo wake mgumu sana unasita na anahofu sana chama kuwa mikononi mwa puppet...

hiyo makosa hataki kabisa kuifanya...
Pr lipumba na cheyo vp ,kila chama na utaratibu wake
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM



My Take
Hongera bwana Zitto kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya, kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Tindo zitto junior JokaKuu
 
Chadema ikishika dola tu, Mbowe anang'atuka. Lkn kabla ya hapo chadema hawatauingia mtego huu kwa makusudi ama kwa bahati mbaya.
 
Ila ACT hawapo serious yaani kiongozi wa chama ni either Semu au Maharagande? Why OMO au Jusa wasingegombea? Hiki chama ni kichekesho
 
Mbowe aking'atuka, hayo mabilioni ya ruzuku atayatafuna nani?
Ndio hapo sasa, nani?

Hawa Viongozi ndio unawasikia....'Mwalimu Nyerere(R.I.P) alikuwa na maono, aling'atuka' 'wakati muafaka' 'tumpigie makofi'

Lowassa(R.I.P) 'alitufundisha' 'alijua kusoma wakati'

Wakimalizia na ....'tuwaenzi' 'tufanye kwa matendo'


Vijana wameiva CHADEMA.

Mbowe aachie ngazi na aachane na kukiongoza chama kama kampuni yake binafsi

Ang'atuke, asome wakati kwani huu ni wakati muafaka na kupisha Nguvu(Fikra) mpya ya vijana.

Labda tutampigia makofi badala ya kumnyooshea vidole.
 
Kiongozi hawezi kutelekeza chama kwenye mapambano. Hata wakati wa Ukombozi uliona lini watu wanaachiana madaraka hovyo hovyo. Kuanzaia akina Nyerere, Tambo, Nujoma, Machel ..... wote wameongoza kwa muda. Kama ACT wamepata kiongozi mzuri kuliko Zitto then is well and good .... otherwise utasikilizia hapo mbeleni chama kuitakavyoanza kusambaratika.
Kwahiyo Chadema hampo tayari kuachana na Mbowe sio? Ila mnataka Watanzania waachane na CCM sio? Ahahahahaha!!!!
 
Mbowe anawahenyesha sana, sasa hivi kilichobaki kwenu ni kumtaka aondoke uongozini coz mitego yenu mingine yote kwake mlishindwa.

Namkubali sana huyu mtu. Kiongozi mnyumbulifu kulingana na mazingira na wakati.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tafuteni pesa nguvu za kiuchumi za Mbowe ndo zimeifanya Mbowe aweze kusurvive kwenye uongozi muda mrefu, vinginevyo waraka madaraka pale chadema , CCM , nccr wangekuwa wameshamsakama mpaka akatema
 
Ya chadema yanawahusu Nini? Kila mtu yupo nyumbani kwake Kila wakati kuchungulia Kwa jirani Yako unataka Nini? Tangu lini ACT ikawa reflector ya chadema? Tuondolee ushetani hapa,
 
Back
Top Bottom