econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,616
- 23,039
Hii nchi haitawaliwi Kijeshi bali inatawaliwa kidemokrasia kwa maana hiyo Chama kilichoshinda Uchaguzi Ndio chenye dhamana ya kuunda serikali na kuisimamia
Katibu wa Itikadi na Uenezi ndiye anayesimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM na Mawaziri Ndio Vijana wa Chama wanaotekeleza Ilani
Mawaziri Mizigo Chama kinawatupa kule 🔥
Wote matahira wamekutana. Acha watumbukie shimoni.