Habari ndugu kuna Eneo linauzwa Manzese Argentina. Eneo linatazamana na barabara kuu ya Morogoro road jirani kabisa na kituo cha Mwendokasi cha Argentina
Eneo linafaa ujenzi wa hotel, shell au kuweka kitega uchumi chochote
Bei 400ml maongezi yapo
kwa maelezo zaidi What's up number
+255628891673...
uhakika unaotaka wewe ni upi? Shtaka linasema hivyo kupewa shukrani ya Tshs elfu 10 kama ingekuwa rushwa walipaswa kuandika rushwa. Na rushwa ni hela ya kuomba hiyo sikuomba jua hivyo
Nyinyi ndo wenye roho mbaya na ngumu mnaofurahia matatizo ya wenzenu lakini kumbuka Dunia hii ni duara nimejitokeza kuomba kazi nisaidiwe niweze kusimama tena. Unaposema nina matatizo sana hiyo ni kejeli. Yawezekana wewe ni mtumishi hiyo taasisi niliyofukuzwa. Nimeshakata rufaa Tume namwachia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.