Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 743
- 2,563
Ndio maana nikasema waambie kuwa haukupewa RUSHWA bali ulipewa BAKSHISHIuhakika unaotaka wewe ni upi? Shtaka linasema hivyo kupewa shukrani ya Tshs elfu 10 kama ingekuwa rushwa walipaswa kuandika rushwa. Na rushwa ni hela ya kuomba hiyo sikuomba jua hivyo