kaka tupo kwa ajili ya solutions kama hizo,tembelea jigambe utapata contacts zetu,kuhusu experience humohumo angalia About Us then Our Team halafu utamaliza mwenyewe,tupo pamoja nawe kaka!
Silence means yes kaka,Mtazamaji amesomeka kwa advice yake thus y bado tunayafanyia kazi,mheshiwa Chief Lugina haina haja ya kuwakataa wanao bwana tunahitaji mawazo yako siunajua kaka bongo yenyewe tupo nyuma kwa mambo ya Tech. me ninauhakika humu kwa jukwaa la Tech. ndipo kwa kupata views...
kaka wewe ni mmoja kati waloelewa nini kinatakiwa kizungumziwe,Hamy D bado hujafaham unachotakiwa ukifanye humu ndani,Ndetichia upo sawa kaka hiyo nayo sababu mojawapo,nimekupata Bujibuji tupo pamoja kaka!
Hili swala la watanzania wengi kukimbia masomo ya science inamaanisha wengi hatujiwezi kuyamudu ni magumu sana au ni mfumo wa Mitaala yetu ya Tanzania ndiyo inasababisha!
Kwa hili kama mzalendo wa nchi unadhani nini kinasababisha wengi tuyakimbie!
Ebwana ipo system ya hapa TanzaniaKwetu kuwakutanisha Advertisers na Publishers pamoja bila manual work gonga hapa Jigambeads,na vilevile Bloggers na Advertisers gonga humu JigambeBlogs,jaribuni kupitia humo wadau!
upo uwezekano wa kuintegrate system mbili pamoja ambapo hata wale wa vijijini wakatumia njia ya kawaida na informations zikaingia ndani ya net na waliotown ni option kutumia njia moja wapo,ingawa ni issue kubwa lkn ni endelevu,kwani mwana wa jamiiforum pamoja na hawa washikaji wa jigambeads...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.