Leo kidogo nitakuwa mkali
Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.
Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya...
Serikali haijawahi kuwa na msaada kwenye chochote. Kama Warioba aliwatafunia na bado wakashindwa kumaliza kazi unategemea nini?
Watanganyika ndio mnatakiwa kuchukua hatua. Bahati mbaya huwa hamna cha kufanya kwenye mambo muhimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.