Wakuu habari
Msaada: Naweza wapi nikapata aina hii ya mifuko kwa jumla na bei yake ikoje kwa hapa Dar....imeandikwa AL KHALEEJ SUGAR na mengine inaitwa WFP
Nawasilisha
Hello wakuu
Nataka kuagiza X-Trail new model 2007, ila tatizo ni kuwa ina kM zaidi ya laki 2. Sasa nakuwa na wasiwasi, je inaweza ikawa engine yake haijachoka. Kuna mtu kaniambia road za wenzetu Japan hazina shida Kama huku bongo.
Hebu naomba ushauri wenu wakubwa wa kazi.
Wakuu habari,
Poleni na janga la corona. Nilikuwa nauliza kuhusu matumizi ya mafuta ya hi gari Nissan xtrail 2007 au 2008 ikoje kiuhalisia kwa wale waliotumia hii gari au wanijua vizuri.
Kutokana na specification Yake ni 1990CC
Nitashukuru
\
Habari wakuu
Aiseeh nmekuja dar kutoka mkoani kwa likizo,ni kitambo kidogo sjafika,naona miundo mbinu ya kutosha...heko kwa baba jesca...yaan ile nmeshuka ikabidi nianze mizunguko ya mtaan kwanza aseeh aseeeh sijawahi ona wadada warembo hivi,i feel like am from a zombie land nmeletwa kwenye...
Habari wakuu...
Natumaini ni wazima poleeni na mahangaiko ya shughuli
Turudi kwenye kichwa husika.
Kama kawaida Ningependa kushare nanyi kile nilichokiona na nakujifunza na kupata uzoefu mdgo..na zile mastori zinazoelezwa kuhusu mali kale au treasures zilizoachwa na wakoloni wa kijerumani baada...
Naomba kutoa rai kwa serikali ya awamu ya tano, kwa sababu rasilimali ni za kwetu. Basi waamue kufungua migodi yao yenyewe ya dhahabu, almasi na tanzanite na madini mengine.
Inajulikana biashara ya uchimbaji ni 'risk business', basi wapangue STAMICO upya halafu waanzishe ya kwao ili kupunguza...
Heri wakuu. Poleeni na mihangaiko.
Mimi ni kijana Mjiolojia na nina uzoefu wa uchimbaji mdogo wa madini ya Dhahabu na Vito vya Thamani yaani Gemstone.
Ningependa tupeane ushauri na kama kuna wakuu wengine wanajua hasa hii kazi mnakaribishwa, nakaribisha maswali ya kitaalam (expertise) na yale...
Africa's Richest Man Faces Challenges In Tanzania; Shuts Down Cement Plant
My take
TZ ISHAJIHARIBIA....MORE THAN 10000 TZ people wamekosa kazi na soko la cement la dangote lilikuwa 22% east africa
Wakuu Lg g2 yangu imesumbua touch screen digitizer....bei yake ni ipi na kufanya replacement pia
Note:bei iwe affordable maana nshashindwana na mafundi wapigaji,
Asanteni
Tanz-ice ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya kupoozea vinywaji kwenye harusi, mahafali, matamasha, migahawa na pia watu binafsi,
Barafu zetu haziyeyuki kwa haraka , tunatumia mashine maalum kugandisha kupitia njia za kisasa(modern systems),
Tunauza kwa jumla na rejareja
Barafu...
Kuna ndugu yangu anaulizia jinsi ya kuweza kuverify (kuthibitisha) vyeti vya NACTE.
Sasa sijui wanatumia procedures zipi nawasilisha swali kama nlivyoulizwa
Wakuu habari
Kwanza poleeni kwa mahangaiko ya juma lililopita na MUNGU awapatie nguvu kwenye juma hili jipya.
Naomba kujua bei ya viazi vitamu kwa gunia, bei ya kununulia kwa dsm na pia bei ya kuuzia viwandani hasa viwanda vya biscuits
Natanguliza shukrani
tunauza fresh apples(true cape) kwa bei ya jumla,zipo box pack size 90,100 na 110..tupo mwenge mkabala na efatha bank,dar es salaam ;
tunapokea order za mikoani
contact:0717 163106,0756 090222,0714 961661
price:65000,tunafanya delivery popote ulipo dar es salaam
price
Kampuni ya TANZ-ICE ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya sherehe, mahafali, matamasha, na watu binafsi, barafu ni makubwa na magumu kuyeyuka,yanapatikana kwa wingi.
Tunatumia mashine za kisasa kugandisha. Bei ni 1000/= tu! Tupo mwenge mkabala na Efatha Bank.
Kwa kuweka order...
Tanz-ice ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya harusi, mahafali, matamasha, migahawa na pia watu binafsi,
Barafu zetu haziyeyuki kwa haraka , tunatumia mashine maalum kugandisha kupitia njia za kisasa(modern systems),
Tunauza kwa jumla na rejareja
Barafu zinapatikana kwa wingi...
habar wakuu
naomba msaada ma expert kwenye hili, nmenunua note 2 , tatizo nikiweka line ya tgo, alafu settings nikiweka WCDMA only network bar znashuka haraka, ila nikiweka GSM ONLY mtandao unaonyesha G , nkiweka WCDMA/GSM mtanndao unaonyesha G , nmejaribu line zote za tgo, voda na airtel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.