Nlijiuliza maswali machache jana.
1. Anasema kesi ya pili ya malalamiko ya ukokotoaji wa capacity charge tanesco hawakuipeleka wao mahakamani uingeleza kama walivyofanya kesi ya awali, bali ilipelekwa na standard chartard bank, hivyo maamuzi ya kesi ile tusiyalalamikie kwamba serikali...
), mihutasari (syllabuses), vitabu vya kiada na ziada (course books and supplementary bks) na EMAC (educational materials approval committee).
alisema taifa lina sera ya elimu lakini ina umri wa miaka 17. alishauri ifanyiwe marekebisho. kuhusu mitaala alisema kuwa taifa halina mitaala...
kama serikali inaona wananchi wa mtwara ni wabaguzi kwa kudai kunufaika na rasilimali gesi inayowazunguka, basi ifanye hvo hvo kwa rasilimali zote, kwa mfano. Ijenge bomba la kusafirisha dhahabu toka arusha, mwanza, shinyanga, chunya kwanda dar, pia ijenge bomba la kusafirisha wanyama...
tusililaumu raia mwema kwani lenyewe linachapisha makala za kila upande, mara nyingi linakuwa katikati, ndo maana limechapisha pia majibu yaliyotolewa na arcado ntagazwa kuhusu makala ile!
MKWELI UKWELI HUJAMTENDEA HAKI DR. SLAA PAMOJA NA CHADEMA
Ukiisoma Makala ya ndugu MKWELI UKWELI katika gazeti la Raia mwema toleo namba 259 utagundua sio tu kwamba ndugu Mkweli ana chuki binafsi na DK. Slaa na chama anachokiongoza cha CHADEMA bali pia haitakii amani nchi yetu kwa kuto...
muheshimiwa kigwangala utetezi wako ni sawa na majibu ya wazir wa afya na katibu mkuu wake mama nyoni wakati mko kwenye mgomo wa madactari, majibu yako ni mepec sana na hayana nguvu kabsa,
Najua moyono kiukweli upo ma1 na zito, lakini kwa kuwa unataka kulinda ki2mbua chako kicingie mchanga...
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi la juzi, maige anasema nyumba aliyonunua amenunua kwa mkopo kutika crdb bank, na kwa mliosoma lile gazeti mtakuwa mmeuona mchanganuo wote alivyoeleza, cha ajabu ni kwamba anasema amekopa bank sh 200 millioni, lakini ni maige huyohuyo aliyetoa sh. milioni 500...
Hata kama hoja ya zito itashindwa, lakini ameonyesha uthubutu na ujasir wa wa hali ya juu! nae analijua hilo kuwa itakuwa ngumu ila anachotaka ni kuonensha hisia za hali ya juu kuwa anakerwa na utendaji wa mambo wa wazir mkuu!
Nadhani wengi tunajua alichokisema mh. z. kabwe jana bungeni alipokuwa anahitimisha hoja ya kamati ya mashirika ya umma. zito alisema anakusudia kukusanya sahihi za wabunge 70 ili aweza wasilisha hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.
Ameonyesha ujasiri na hisia kuwa anachukizwa na utendaji...
mi naona ni sawa, kama spika angekuwa ni 6, coz aliendesha bunge kwa manufaa. hata ivo naamini ma-njiwa ataishi coz ameshaanza kutengeneza njia kwa kutetea posho.
Ndugu pinda anawaona madaktari kuwa watu wasio na utu kwa kugoma kuwatibu watanzania mpaka pale waziri mponda na naibu wake wajiuzuru.
kwa upande wangu mi naona pinda ndo mtu asiye na utu kwa kugoma kuwachukulia atua waziri na naibu wake hata kama watanzania wataendelea kufa, yaani kuwambia tu...
katika tanzania hamad rahid ni mmoja wa wanacasa ninaowaamini na kuwakubali, lakini kwa hili cjui shetani gani kamuingia, mimi naamini kweli kuna mkono wa pin...... na low.......
Niliusikiliza kwa makini sana mjadala wa posho za wabunge A.mashariki na kati uliokuwa unarushwa hewani na radio bbc, nilishikwa na bumbuwazi nilipokuwa nasikia hoja za utetezi za nkamia kuhusu posho.
Hoja ya kuwa zito amepokea posho bunge lililopita kwa nini sasa anakataa.
kwa msomo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.