Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.
Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa...
Nimekuwa nikimsikiliza Mganga Mkuu wa Serikali Dr. Nagu pindi anavyotoa taarifa haswa ya ugonjwa huu wa Marburg.
Namuona hajiamini na anashindwa kuwa detailed na composed. Ushauri wangu kwake ajiongeze na kujua content mapema as anaonekana viatu alivyovaa ni vikubwa.
Leo Waziri Ummy imebidi...
Alikua head wa Breast Unit Muhimbili,Dr humble na Muugwana,amefariki jana kwenye msiba wa mdogo wake baada ya kuaga mwili akaishiwa nguvu.
Nitakukumbuka kwa kunihudumia bila kuchoka mpaka nikapona,amehudumia pia wamama wengi wenye vimbe mbalimbali kutoka kila pembe ya Tanzania.
Mungu amlaze...
Naomba niwaalert job seekers kwamba kuna watu wanapost kazi Zoom Tanzania kwa kutumia jina la Organization ya World Direct kitu ambacho sio kweli as ukishaapply wanataka ufanye PAR test na kulipia almost 125,400 ya Kitanzania kwa ajili ya certificate, nimewasearch na kuona wanatumia majina...
Niliita Uber week iliyopita Ubungo bus stand ikaja IST ya silver inaendeshwa na mdada, akanipeleka nilipokua naenda msasani, kufika anashindwa kunionyesha bei ananiambia tu ni elfu 11. Kwakua nilikua nawahi nikampa elfu 12 akawa hana chenchi nikamwachia, nimemaliza nilichokua nafanya nalog tena...
Rebeca ni mwanamke wa kitanzania na mwenye umri mdogo kulinganisha na mambo aliyoyafanya kwa ustawi wa wasichana wa tanzania kupitia shitika lake la msichana initiatives.
Aliweza kuchallenge serikali kipengele cha ndoa kwa msichana katika umri wa miaka 15, amepata UN awards usiku huu na amekua...
Wanajukwaa,mwenye taarifa kama Adv.Mwale wa Arusha kama naye ni miongoni mwa waliosamehewa jana.Huwa nikiangalia mazingira ya kesi yake na maamuzi ya mahakama naonaga kama kuna mkono wa mtu.
Naomba mwenye taarifa pls atupe updates.
Wakati Mh.Tundu Lissu akiendelea kupata matibabu Nairobi,Kingu yupo busy kugawa vitanda jimboni mwa Tundu Lissu mara kusimamia uchaguzi wa UWT akiwa na maaskari wenye bunduki na sijawahi kuona hata mara moja akimuombea Tundu Lissu tofauti na Nyalandu.Huyu bwana mdogo amenifanya nimtizame kwa...
Nimekua nikiona post zake mara kwa mara akisema single life na akishauri wanawake wenzake kutokukaa kwenye ndoa zenye matatizo,hizi statement mbili hizi zinaonyesha kuna walakini kwenye marriage yake.
Nimeenda leo Agha Khan Morogoro,reception wanapaswa kufungua saa 2 asb mpaka saa 2.32 bado tu wanajizungusha na kupiga story mpaka unawaomba jamani tunahitaji kuhudumiwa haswa receiption,mdada ana attitude as if huduma tunapewa bure kumbe tunalipia,anapiga story na wenzake na kuacha...
Kwa macho yangu nimemshuhudia Irene Uwoya Novotel Mount Meru weekend hii akiwa na predeshee mashuhuri wa Dar wakiwa wamekuja kula maisha,hawa wasanii hawa!
Jana kwenye mazishi ya Mh Sumari nilimshuhudia Mengi Akiwa na Jackline Ntuyabaliwe kama mtu na mkewe.Sielewi huyu mzee anafundisha nini vijana wa taifa hili bila hata aibu,age difference ni mtoto wake wa mwisho.
Wana JF,
Hope mu wazima,leo asubuhi nikiwa natokea kwangu maeneo ya njiro,nilipita nje ya nyumba ya Mheshimiwa Fatma Makongoro Nyerere anayojenga karibu na General Tyre,Wafungwa walikua ndio wanapanga concrete tiles chini asubuhi ya saa 2,Ninajiuliza kwa maadili ya viongozi ni sahihi kutumia...
Kama kawaida yetu tumesindikiza Miss World kwa kutolewa mapema,even kipengele cha beauty with purpose tumeshindwa while tuna matatizo mengi ya kijamii,ghana amefanya vizuri kwa kuelezea matatizo ya watoto yatima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.