Kanisa la Kiinjili la Kilutheri lijitathmini kwenye miradi yake

chuchunge

JF-Expert Member
Aug 17, 2007
212
154
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.

Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa hadi wafanyakazi wake, imepelekea Ma Dr wengi kuondoka hence kupelekea usumbufu mkubwa kwa wagonjwa.

Huku vile vile ikiwa na deni kubwa CRDBS.

hule kama Junior Seminary ya Morogoro na Peace house ya Arusha nazo ziko kwenye hali mbaya sana.

Hotel ya Corridor Spring nayo ilibidi waumini tuchangishwe ili deni lilipwe ikikaribia kuuzwa na CRDB.

Kuna haja uongozi mpya wa Askofu Malasusa kuja na mpango mkakati wa namna ya kuendesha miradi.
 
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.

Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa hadi wafanyakazi wake, imepelekea Ma Dr wengi kuondoka hence kupelekea usumbufu mkubwa kwa wagonjwa.

Huku vile vile ikiwa na deni kubwa CRDBS.

hule kama Junior Seminary ya Morogoro na Peace house ya Arusha nazo ziko kwenye hali mbaya sana.

Hotel ya Corridor Spring nayo ilibidi waumini tuchangishwe ili deni lilipwe ikikaribia kuuzwa na CRDB.

Kuna haja uongozi mpya wa Askofu Malasusa kuja na mpango mkakati wa namna ya kuendesha miradi.
Kuna haja uongozi mpya wa Askofu Malasusa kuja na mpango mkakati wa namna ya kuendesha miradi
 
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.

Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa hadi wafanyakazi wake, imepelekea Ma Dr wengi kuondoka hence kupelekea usumbufu mkubwa kwa wagonjwa.

Huku vile vile ikiwa na deni kubwa CRDBS.

hule kama Junior Seminary ya Morogoro na Peace house ya Arusha nazo ziko kwenye hali mbaya sana.

Hotel ya Corridor Spring nayo ilibidi waumini tuchangishwe ili deni lilipwe ikikaribia kuuzwa na CRDB.

Kuna haja uongozi mpya wa Askofu Malasusa kuja na mpango mkakati wa namna ya kuendesha miradi.
Tatizo la KKKT kutojiendesha kama taasisi, inaendeshwa kama muungano wa makanisa huku kila kanisa likijitegemea kwa maamuzi yake, na hili ndilo linasababisha matumizi mabaya sana ya pesa.
 
ni kweli kkkt sasa wako pabaya shule zinakufa zinapoteza majina kuna mfumo mmbovu wa uendeshaji na huenda pesa inaliwa..... hospitali kama selian sio ya kuanguka kizembe ila kwakua hakuna usimamizi mzuri na mfumo mzuri wa uendeshaji basi changamoto huja...

ukiangalia maeneo mengi shule zinakufa kwa madeni chakujiuliza ni je hakuna ufuatiliaji au ndio kushindwa kusoma alama za nyakati?

kkkt kuna tatizo kubwa basi tu kwakua ni chombo cha dini kukisema sana unaonekana ww ndio shetani..
 
Mtoa hoja hii,imenitonesha pia issue ya KKKT ya makanisa yao kutoisha kujengwa, KKKT kanisa la kinondoni lini ujenzi wake utaisha?,lingenihusu ningefanya push back
 
Mtoa hoja hii,imenitonesha pia issue ya KKKT ya makanisa yao kutoisha kujengwa, KKKT kanisa la kinondoni lini ujenzi wake utaisha?,lingenihusu ningefanya push back
Baada ya serikali kuhamia Dodoma makanisa mengi yameathirika sio KKKT tu hata madhehebu mengine na misikiti pia

Wanajenga Dodoma wanakosali vigogo wenye hela waliokuwa wakisali makanisa ya Dar.
 
Mtoa hoja hii,imenitonesha pia issue ya KKKT ya makanisa yao kutoisha kujengwa, KKKT kanisa la kinondoni lini ujenzi wake utaisha?,lingenihusu ningefanya push back
Mkuu
Hii ni kama trend kwa sharika nyingi, kuna kawaida imezoeleka ya kanisa kuanzishwa ujenzi alafu haliishi kwa wakati.

Kinachoudhi ni kua yanajitokeza mambo na michango ingine mingi ambayo inageuka kua kipaumbele na kufanya kazi ya ujenzi ikae kando.

Kwa upande mwingine hili suala la kanisa kukopa benki alafu miradi haieleweki kisha kuwarudia washarika wachange kulipa deni sio jambo zuri, tunapoelekea sio.
 
Da umenikumbusha mchungaji wetu wa CCT SUA alivyotafuna mamilioni pia askofu wa KkkT moro alivyoyararua mamilioni
 
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.

Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa hadi wafanyakazi wake, imepelekea Ma Dr wengi kuondoka hence kupelekea usumbufu mkubwa kwa wagonjwa.

Huku vile vile ikiwa na deni kubwa CRDBS.

hule kama Junior Seminary ya Morogoro na Peace house ya Arusha nazo ziko kwenye hali mbaya sana.

Hotel ya Corridor Spring nayo ilibidi waumini tuchangishwe ili deni lilipwe ikikaribia kuuzwa na CRDB.

Kuna haja uongozi mpya wa Askofu Malasusa kuja na mpango mkakati wa namna ya kuendesha miradi.
Kitu kimoja makanisa yasicho jua ni kwamba kujenga Hospitali,Mashule,kulifanyika enzi hizo kama njia moja wapo ya kueneza injili na pia kuvutia waumini,

Wakati wamisionaries wanajenga mashule na Hospitali,hakukuwa na private Hospital wala Gavament.

KWa sasa Serikali inatoa hizo huduma zote tana kwa kiwango sawa na au zaidi kuliko makanisa.

Fuatilia huko Dini ziliko anzia kama mado Makanisa yanajenga shule na Hospitali.

Kanisa ijikite kwenye msingi wake mkuu kuhubiri, make hata hizo Hospitali na Shule zake ni pure business na hivyo inapingana na misingi ya kanisa.
 
Mtoa hoja hii,imenitonesha pia issue ya KKKT ya makanisa yao kutoisha kujengwa, KKKT kanisa la kinondoni lini ujenzi wake utaisha?,lingenihusu ningefanya push back
Magomeni Mviringo au lipi hilo?
 
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.

Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa hadi wafanyakazi wake, imepelekea Ma Dr wengi kuondoka hence kupelekea usumbufu mkubwa kwa wagonjwa.

Huku vile vile ikiwa na deni kubwa CRDBS.

hule kama Junior Seminary ya Morogoro na Peace house ya Arusha nazo ziko kwenye hali mbaya sana.

Hotel ya Corridor Spring nayo ilibidi waumini tuchangishwe ili deni lilipwe ikikaribia kuuzwa na CRDB.

Kuna haja uongozi mpya wa Askofu Malasusa kuja na mpango mkakati wa namna ya kuendesha miradi.
Ni kila mahali Tu yaani KKKT sijui wamekuaje, Sebastian Kolowa University imekufa, Lwandai secondary (kumbuka Hii ni miongoni mwa shule kongwe Sana ambazo walisema pia Viongozi WA miaka hio) inasuasua, Bangala Junior Secondary ina wanafunzi sidhani kama wanafika hamsini, Vuga Press (kiwanda kikubwa Sana cha printing, yaani kwa Tz ilikua ukizungumzia printing huwezi kuiacha Vuga press, Vitabu vingi Sana Tz viliprintiwa hapo) na penyewe pamekufa, Magamba Trade School ( kwa Tanzania nadhani ilikua peke yake, ni kama VETA za miaka hio, furniture nzuri Sana za kiwango cha Kimataifa zilikua zikitengenezewa pale, ukihitaji bolts, nuts, sijui kuchonga spare za aina gani, huwezi kukosa hapo)

Kituo cha Mafuta pale Mambo, sold! Irente farm (maeneo ya kihistoria) hayana mvuto tena. Maeneo mengine yanaporwa Tu, yaani Wana misitu mikubwa sana ila Watu wanafanya wanavyopenda.

Kituo cha Wagonjwa wa akili (Lutindi Mental health) cha miaka na miaka, yaani ilikua ukizungumzia Lutindi mental hospital ni sawa na ile ya Dodoma Tu. Siku Hizi hamna kitu, nusura kipigwe mnada.

Kwa kifupi tunatia Aibu Sana Sana
 
Makanisa yasiige Wazungu kuanzisha Hospitali na shule,enzi hizo Hospitali ay shule ya kanisa ilikuwa ni kimbilio la mwisho la watu kupata huduma tena some time free.
Sio kweli mbona kuna wako vizuri tu mfano Hospitali ya KCMC na Bugando ni za kanisa mbona ziko vizuri sana

Shule za kanisa mbona ziko vizuri sana mfano za katoliki.Shule zote mfano za katoliki zikizoanzishwa na wamisionari Nyerere alitaifisha zote akafanya za serikali

Serikali iliporuhusu shule binafsi wakatoliki watanzania sio wazungu wamisionari wakaamxa kujenga shule up ya ndio hizo kibao zinang'ara kitaifa kwa kushika nafasi za juu na ufaulu kubwa

Swala ni usimamizi mzuri sio kuwa wasijenge.Wajenge ila wajipange kwenye usimamizi kama ambavyo kanisa katoliki linafanya
 
Back
Top Bottom