Mganga Mkuu wa Serikali ajiongeze na kujiamini

chuchunge

JF-Expert Member
Aug 17, 2007
212
154
Nimekuwa nikimsikiliza Mganga Mkuu wa Serikali Dr. Nagu pindi anavyotoa taarifa haswa ya ugonjwa huu wa Marburg.

Namuona hajiamini na anashindwa kuwa detailed na composed. Ushauri wangu kwake ajiongeze na kujua content mapema as anaonekana viatu alivyovaa ni vikubwa.

Leo Waziri Ummy imebidi afanye sana kazi yake ya kuelezea Ugonjwa, hali ilivyo, hatua zilizochukuliwa despite yeye kupewa nafasi ya kufanya hivyo.
 
Ni kweli,Dr Nagu Kama mbobezi ameshindwa kufafanua vizuri kuhusu ugonjwa wa Marburg.Hongera Sana Mheshimiwa Ummy Mwalimu,umedadavua vizuri, kuhusu chanzo,namba unavyoenea,Kinga na kwa nini ugonjwa huu, unaitwa Marburg.

Ushauri,
Mganga Mkuu wa Serikali awe anajiandaa kabla ya kwenda kwenye Press Conference.Waziri anamtegemea mtalaam wake kutoa ufafanuzi kwenye masuala ya kitaalum
 
Nimekua nikimsikiliza Mganga Mkuu wa Serikali Dr.Nagu pindi anavyotoa taarifa haswa ya ugonjwa huu wa Marburg.Namuona hajiamini na anashindwa kuwa detailed na composed.Ushauri wangu kwake ajiongeze na kujua content mapema as anaonekana viatu alivyovaa ni vikubwa.Leo Waziri Ummy imebidi afanye sana kazi yake ya kuelezea Ugonjwa,hali ilivyo,hatua zilizochukuliwa despite yeye kupewa nafasi ya kufanya hivyo.
Vyeo vya koneksheni siku zote vinapwaya
 
Nimekua nikimsikiliza Mganga Mkuu wa Serikali
Nadhani wanasiasa wanaongea sana ilibidi waziri wa afya Mh. Ummy Mwalimu aongee kidogo kukubali ugonjwa upo na kuwa rasilimali fedha na rasilimali maabara na watu zipo kukabiliana na gonjwa.

Kisha mganga mkuu wa serikali Prof.Tumaini Joseph Nagu kukaribishwa ili aongee kwa muda mrefu kitaalamu jinsi ya kutanya utambuzi, kujikinga na tiba zipo au ni za kupoza dalili nyemelezi.


Mawaziri waongee sera tu na kuhakikishia umma kuwa rasilimani zipo ili wataalamu wafanye kazi yao na kuwaachia wataalamu kuongea sana kwa kina kuelezea undani wa jambo lao kitaalamu.

 
Back
Top Bottom