chuchunge
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 212
- 154
Wana JF,
Hope mu wazima,leo asubuhi nikiwa natokea kwangu maeneo ya njiro,nilipita nje ya nyumba ya Mheshimiwa Fatma Makongoro Nyerere anayojenga karibu na General Tyre,Wafungwa walikua ndio wanapanga concrete tiles chini asubuhi ya saa 2,Ninajiuliza kwa maadili ya viongozi ni sahihi kutumia wafungwa kwa kazi kama hizo especially ya mtu mkubwa serikalini anyejua sheria za nchi?
Hope mu wazima,leo asubuhi nikiwa natokea kwangu maeneo ya njiro,nilipita nje ya nyumba ya Mheshimiwa Fatma Makongoro Nyerere anayojenga karibu na General Tyre,Wafungwa walikua ndio wanapanga concrete tiles chini asubuhi ya saa 2,Ninajiuliza kwa maadili ya viongozi ni sahihi kutumia wafungwa kwa kazi kama hizo especially ya mtu mkubwa serikalini anyejua sheria za nchi?