Mic akg1000s kwa 230000 soundcard ya behringer um2 kwa 230000, mic stand kwa inayosimama sakafuni kwa 40000, ya mezani kwa 30000, pop filter 20000 na waya zake.
Au kamata vyote kwa 500000
Vinapatikana bunju B.
0677508568
Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura.
Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli.
Siku moja...
Nilikuwa natazama animation flani ya muda inaitwa Bellarina sasa kuna wimbo ukapigwa unaitwa suitcase ukanivutia nikataka kujua kauimba nani.
Ndipo nikaja kugundua ni mwanamama mzaliwa wa australia ambaye anaishi US anaitwa Sia.
Nikatafta nyimbo zake nyingine youtube nikakutana masong makali...
Jana mida ya jioni nilikuwa nimetulia mara nikasikia mama flani jirani na nilipo anamshushia kipigo mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka kama mitano au sita. Alimpiga sana ikabidi niingilie nikamwambia atamuumiza anampiga mtoto vibaya, hakunijibu aliendelea kumshushia kipigo.
Mara akaanza...
Unaweza kuwekeza kwenye uchenjuaji wa dhahabu na ukapata faida kubwa sana kea muda mfupi kutokana na kiasi ulichowekeza.
Kuna sehemu inaitwa Mwamazengo iko huko Mwanza kuna eneo lina leseni kwa ajili ya uchimbani wa dhahabu.
Pale ukiwa na mtaji wa Tshs 50 milioni ndani ya muda mfupi inaweza...
Kuna mama anauza eneo lake Gongo la Mboto alikuwa anajenga hostel akaishia kwenye renta.
Ana tatizo alipata stroke anahitaji pesa ya haraka kwa ajili ya matibabu.
Picha la eneo sina kufika pia sijawahi ila kwa anayehitaji naweza kumpatia namba ya mhusika akapaone maana mimi si dalali ila...
A known Polyclinic is looking for a part time administrator who is competent and hardworking also can comply with all the office rules that is timings, discipline and good leadership. 4:00pm to 8:00pm weekdays, Sat: 2:00pm to 6:00pm Sun: 9:00 to 2:00pm this includes holidays. The Facility is...
Ushawahi kutapeliwa au umewahi kusikia majina ya matapeli wakubwa duniani na akili waliyokuwa wanatumia kutapeli watu hadi kwako wakaonekana mashujaa.
Huenda hukuwahi kusikia jina la mtoto wa Afrika mzaliwa wa Cameroon aliyejulikana kama Donatien Koagne, the King of Feymania.
Huyu jamaa ni...
Kuna feature moja mwenye ios ambapo unaweza zuia app yoyote isi access internet. Nimejaribu kwenye android lakini sijapata namna naona kuna stop app from running in the background lakini app kama whatsapp still ina run.
Je kuna namna ya kuzuia nyingine?
Ila android 9 iko vizuri kwakweli hasa...
Kama kuna mtu anauza gunia za katani mwanza tafadhali naomba ani pm
Zile za kuweka kahawa siyo yale yenye mistari miwili nataka yale plain mapya na yasiwe jute
Inauzwa ina kila kitu chake box, charger na earphome
Used three weeks
No dent as clean as new
Bei 230000
32gb ram 2gb waterdrop notc
Napatikana Tegeta Wazo: Call 0688496566
Tarehe 8, mwezi wa 8 mwaka 2005, saa tatu asubuhi ikiwa ni siku ya Jumatatu, moja ya tawi la Bank Kuu ya Brazil lililopo katika mji wa Fortaleza katika jimbo la Ceara, lilifunguliwa kama kawaida kwa ajili ya shughuli za kila siku.
Manager wa bank anaelekea kwenye chumba cha kuhifadhia pesa...
Premier Commando de le Capitale (PCC)
Rio De Jeneiro
Tarehe 2, mwezi wa 10 mwaka 1992, ndani ya gereza kubwa linalo hifadhi wahalifu sugu katika nchi ya brazil, lijulikanalo kama gereza la Carandiru, kulizuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu katika gereza hilo.
Chanzo cha ugomvi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.