Safi kabisa wanawake siku hizi wanajengwa na kiburi sana hasa akkuona una mali ww mumeo kakuamini miaka 20 wewe ni muhasibu unataka nn acha apate alicho stahili
Wakati wananchi tukihangaika uhaba wa fedha za sarafu hasa sisi wafanya biashra wadogo wadogo na wajasiriamali BOT wanakuja na sera eti wananchi wameweka sarafu kwenye vibubu
Kwa utafiti gani mlio fanya wakati sarafu zote wanazo wachina wameziweka kwenye mamashine yao ya kamali kila kwenye...
Mie nawauliza tu hivi kile kifusi mlichoziba lile shimo kwenye makutano ya barabara ya Msimbazi na Mafia pale karibu na Big Bon ndio kimefika pale au mpaka aje Waziri mwenye dhamana awaambie ndio mkitoe.
Au mnasubiri mpaka mvua inyeshe liwe tope pale barabarani hebu kuweni wastaarabu kale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.