Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,224
- 25,890
aahNitumie namba yako upate kulamba asali serikalini
aahNitumie namba yako upate kulamba asali serikalini
Ni maisha tu yanakuvuruga dogo yakikaa sawa utaifurahia hii nchi tamu sana.Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.
Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?
Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Laana unayo wewe siyo nchi.Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.
Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?
Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Wanufaika na ujambazi dhidi ya mali za umma ndo pekee wanajivunia Utanzania wao maana unalipa kwa njia wamazotumia...Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.
Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?
Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Umejaa laana unaandika mapovu tu hapa. Hama Nchi Msaliti mkubwa we.Kwenye nchi hii iliyojaa laana
Kwa hiyo mmeamua kwenda kufungua uzi mwingine kurevenge ahaaa haaa @ diaspora bana, sasa usipojivunia kuwa Mtanzania utakuwa nani? Asili yako ni kitu huwezi kubadilisha.Mkuu, usijaribu kwenda nje huko watu wanapata shida tu, bata zote zipo bongo. Wasikilize chaneee na Mtambachuo hapa:
Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana Hata watoto wa-nigerian diaspora wanafanya mambo ya maana mfano wakina Anthony Joshua, Israel Adesanya, Saka, Rotimi n.k Wakenya watoto wao waliozaliwa abroad na...www.jamiiforums.com
Hata akipata uraia mwingine haitabadilisha historia yake kwamba asili yake ni Tanzania.Nawashangaa wanaokataa utanzania wao.Unakuta mtu analalamika tafuta uraia mwingine kama utanzania haukufai.
Saa nyingine mtu inabidi utumie lugha anayoelewa mleta (matamshi) lugha.Hata akipata uraia mwingine haitabadilisha historia yake kwamba asili yake ni Tanzania.
Mimi sio mnufaika wa keki ya taifa. Lakini najivunia utanzania.Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.
Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?
Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Kitu ni kibaya ukiwa nacho. Siku ukiwa hunacho ndio utajua uzuri wake.Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.
Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?
Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Kwa hiyo mmeamua kwenda kufungua uzi mwingine kurevenge ahaaa haaa @ diaspora bana, sasa usipojivunia kuwa Mtanzania utakuwa nani? Asili yako ni kitu huwezi kubadilisha.
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.
Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?
Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?