Hivi kuna raia wanajivunia kuwa Watanzania?

Mpaka TAKATAKA itoke madarakani ndio nitajivunia...sina uzalendo kabisa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.

Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?

Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Ni maisha tu yanakuvuruga dogo yakikaa sawa utaifurahia hii nchi tamu sana.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.

Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?

Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Laana unayo wewe siyo nchi.
 
Unaichukia nchi mama Tanzania au unachukia wanao-ongoza nchi ?

Tanzania ni nchi nzuri Sana Ila changamoto ipo Kwa waongazaji nadhani hoja yako irekebishwe ili ilete mtiririko mzuri wa mawazo.
 
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.

Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?

Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Wanufaika na ujambazi dhidi ya mali za umma ndo pekee wanajivunia Utanzania wao maana unalipa kwa njia wamazotumia...
 
Mkuu, usijaribu kwenda nje huko watu wanapata shida tu, bata zote zipo bongo. Wasikilize chaneee na Mtambachuo hapa:

Kwa hiyo mmeamua kwenda kufungua uzi mwingine kurevenge ahaaa haaa @ diaspora bana, sasa usipojivunia kuwa Mtanzania utakuwa nani? Asili yako ni kitu huwezi kubadilisha.
 
Hata akipata uraia mwingine haitabadilisha historia yake kwamba asili yake ni Tanzania.
Saa nyingine mtu inabidi utumie lugha anayoelewa mleta (matamshi) lugha.

Lugha hiyo hiyo anayotumia. sasa akayale matapishi yake na Laana yake.

TANZANIA imebarikiwa. Period. Kama yeye amelaaniwa , alaaniwe mara saba saba na Ukoo wake. Atuachie sie wengine tuliebarikiwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ukitaka kujua kama unatakiwa kujivunia kuwa mtanzania ni pale ukipewa nafasi ya kuamua kuukana utanzania na kuchagua nchi moja wapo ya Africa ya kuhamia.
 
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.

Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?

Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Mimi sio mnufaika wa keki ya taifa. Lakini najivunia utanzania.

Utanzania sio mbaya wabaya ni watanzania, majority niwabinafsi, wanafiki, machawa na wenye mihemko.

Ila kwa upande mwingine tuna mazuri yetu. Watanzania wengi hawana roho mbaya kiivyo, ni wakarimu na wacheshi, sio watu wa visasi, na mengine mengi tu.

Siku utaishi ugenini ndo utaijua thamani ya nyumbani.
 
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.

Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?

Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?
Kitu ni kibaya ukiwa nacho. Siku ukiwa hunacho ndio utajua uzuri wake.
 
Kwa hiyo mmeamua kwenda kufungua uzi mwingine kurevenge ahaaa haaa @ diaspora bana, sasa usipojivunia kuwa Mtanzania utakuwa nani? Asili yako ni kitu huwezi kubadilisha.

Jamaa kachoka raha za bongo anataka kwenda kupata tabu ughaibuni, nampa ushauri wako asiache raha za bongo kwenda kupata tabu huko.
 
Kwenye nchi hii iliyojaa laana kuna raia wanajivunia kua Watanzania? Kwa nionavyo nchi hii wanaojivunia kua watanzania ni wale wanaokula keki ya taifa tu.

Binafsi sijivunii kua mtanzania na nikipata nafasi naukana huu uraia uliojaa laana. Tuambiane ukweli wakuu je unajivunia kua mtanzania?

Sababu ipi inakufanya ujivunie Utanzania?

Hujatembea nchi za wengine mkuu
 
Labda bongozozo maana ndo mtu pekee anakula dili za serikali kwa sababu ya uzalendo wake
 
Back
Top Bottom