Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,139
- 2,998
Ni jambo zuri sana kuondoa hiko kigezo.
Kingekuwa na umuhimu kama wangekuwa wanaweka milango wazi kwa kila anaependa kupata mafunzo ya awali apitie JKT.
Walau ingeleta maana, lakin kwa utaratibu wa sasa kupitia mafunzo tu hayo ni bahati ya wanaochaguliwa. Kuna vijana wangependa kupata hayo mafunzo, kuna wengine wameenda lakini hawakutaka sema ndo umechaguliwa.
Mbona zamani tuliweza raia kujiunga kwenye majeshi bila hizi JKT za sasa? Hofu inatoka wapi? Ama kwa vile mtu amepitia JKT basi ndo ajipe umuhimu zaidi? Hapana, wote tutawapa nafasi sawa, sema uliyepitia JKT utakuwa walau na faida katika mafunzo.
Maana mitaala ya kijeshi ukiingia ni sawa haujapitia JKT, wote mnaanza sawa kila hatua.
Kingekuwa na umuhimu kama wangekuwa wanaweka milango wazi kwa kila anaependa kupata mafunzo ya awali apitie JKT.
Walau ingeleta maana, lakin kwa utaratibu wa sasa kupitia mafunzo tu hayo ni bahati ya wanaochaguliwa. Kuna vijana wangependa kupata hayo mafunzo, kuna wengine wameenda lakini hawakutaka sema ndo umechaguliwa.
Mbona zamani tuliweza raia kujiunga kwenye majeshi bila hizi JKT za sasa? Hofu inatoka wapi? Ama kwa vile mtu amepitia JKT basi ndo ajipe umuhimu zaidi? Hapana, wote tutawapa nafasi sawa, sema uliyepitia JKT utakuwa walau na faida katika mafunzo.
Maana mitaala ya kijeshi ukiingia ni sawa haujapitia JKT, wote mnaanza sawa kila hatua.