Search results

  1. Kurzweil

    'Lumumba buku 7' ni ajira rasmi?

    Hii imerudi kwa style nyingine now wanalipwa 20,000/= kwa kusambaza jumbe zenye # ya kumsifia Mama Kizimkazi
  2. Kurzweil

    Proton using VPN sign-ups to spot attacks on democracy

    Internet privacy company Proton announced Wednesday a new VPN Observatory, tracking demand for its services to detect attacks on free speech in countries like Russia and Iran before they hit the headlines. Switzerland-based Proton said its new observatory would document spikes in sign-ups to...
  3. Kurzweil

    SoC03 Watanzania tutumie 'akili mnemba' kuchochea utawala bora

    Kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita maneno "utawala" na "utawala bora" yametumika katika muktadha wa kuhamasisha maendeleo. Utawala mbaya unatajwa kuwa kisababishi cha maovu yote ndani ya jamii. Wafadhili na taasisi za fedha za kimataifa zinaegemeza misaada na mikopo yao kwa masharti kwamba...
  4. Kurzweil

    NGACHOKA: Jina la Daraja 'Tanzanite' muonekano wa daraja kuna alama ya 'Mwenge'

    Habari ya mtandaoni kwasasa ni watu kupita na magari, bajaji, pikipiki, bodaboda katika daraja jipya la Tanzanite. Wapo wenye kuisifu Serikali ya Mama, Wengine wanamuenzi Magu, wengine wanalaumu kuwa kwanini lisingejengwa Jangwani n.k Mimi binafsi nimeshangazwa na mkinzano wa jina na...
  5. Kurzweil

    MJADALA: Baada ya Spika kujiuzulu ni hatua gani hufuata?

    Hakuna king'ora kuanzia leo
  6. Kurzweil

    MJADALA: Baada ya Spika kujiuzulu ni hatua gani hufuata?

    sasa kupata Bunge safi si hadi 2025 boss
  7. Kurzweil

    MJADALA: Baada ya Spika kujiuzulu ni hatua gani hufuata?

    Habari WanaJF, Wote tumeona taarifa ya Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naomba kujuzwa yafuatayo; Je, Hatua gani hufuata kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Nchi? Je, Naibu Spika anachukua madaraka Moja kwa Moja? Karibuni Wajuvi ====== KWA MUJIBU WA KATIBA ya...
Back
Top Bottom