Na kipindi nakua na hata baadhi ya walimu wangu wa elimu ya juu walikuwa wanasema professions zipo tatu tu duniani
1. Doctors
2. Lawyers
3. Engineers
Hiyo imekaaje apo?
wana jf kwa anayejua vizuri kuhusu ugonjwa ulozuka i.e RED EYE, naomba anielekeze kiujumla sababu, njia za kuambukiza, jinsi ya kuepuka pamoja na tiba yake kitaalamu maana kila mtu anaongea kadri hisia zake zinavyo mtuma. Nawasilisha!!!!
ukipiga fresh vyuo kibao,,na course za kumwaga.mfano unaweza ukasoma MD Bugando,nursing,vet,pharmacy,agriculture,aquaculture,horticulture na course nyingine nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.