Nyumba (apartment) nzuri sana inapangishwa. Nyumba iko maeneo ya Kimara Korogwe, umbali 2kms kutoka Morogoro road, na sifa zifuatazo:
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni masterbedroom)
Sebule kubwa
Jiko lenye makabati (kitchen cabinets)
Public toilet
LUKU
Maji (DAWASA)
Parking ya kutosha
Paving...
mathabane,
Mkuu, nina uzoefu wa IST, Spacio, Runx/Allex. Nakushauri ununue Runx au Allex. Kwanza hakuna tofauti kati ya Allex na Runx. Ni majina tu lakini injini na body na options kwenye zote sawa.
Ni vizuri uchukue injini ya 1496cc kwa sababu ina nguvu kuliko 1290cc lakini pia unywaji wake...
Kiwanja inauzwa, kipo Goba Tegeta A.
Kiwanja hakijapimwa. Tayari kuna makazi ya watu.
Kipo mita kama 600 kutoka barabara ya lami ya Goba - Mbezi.
Ukubwa wa kiwanja: 20m x 22m
Bei: Milioni 15
Mawasiliano: 0784 670 262
Sijui ipi ni kiboko ya mwenzie kama ulivyouliza ila nafahamu haya:
1. 1AZ-SFE ni engine model iliyotengenezwa baada ya 3S-FE, hivyo kwa maana ya ukisasa 1AZ-SFE ni mpya zaidi ya 3S-FE.
2. 1 AZ-SFE maarufu zaidi kama D4 ina technolojia nzuri zaidi katika utumiaji wa mafuta kulinganisha na...
Habari Wakuu,
Kwa yeyote anayehitaji mirunda, mbao, marine boards, n.k. vinapatikana. Vifaa vimetumika mara moja na viko katika hali nzuri,. Vifaa viko Kimara, Dar Es Salaam.
Mchanganuo:
Marine boards (cut pieces)
Mirunda zaidi ya 200, @sh 2,500/-
Mbao size 2'' x 4'' (nzima na vipande), zaidi...
Habari Wakuu,
Kwa yeyote mwenye vifaa vya ujenzi vilivyotumika kama mirunda, marine boards, mbao, n.k. tuwasiliane.
Viwe katika hali nzuri ya kutumika tena.
Mahali: DSM
Gari ndogo ya kukodi inahitajika. Iwe katika hali nzuri. Itatumika kwa matumizi ya kawaida tu sio biashara kwa muda wa wiki mbili.
Ikiwa Toyota Vitz, Toyota Starlet au Toyota Passo itafaa zaidi.
Tafadhali tuma PM tufanye biashara.
Great Range Rover, easy to drive and very fuel efficient because of its 2500 cc diesel engine. Car is in great condition and is available in Dar Es Salaam.
Details:
Year of manufacture: 1996
2.5L diesel engine
Automatic transmission
Mileage: 190,000 kms
Comes with comprehensive insurance and...
Nilitumia Nadia 2002 model (ACN10, engine 1AZ) kwa miaka miwili na huu ndio uzoefu wangu:
Faida:
1. Nadia ni nzuri sana kwenye barabara. Imetulia sana. Ina speed na haitetereki barabarani. Kwenye safari uta-enjoy zaidi.
2. It is very luxurious and has nice interior (dashboard, design,etc)...
Toyota Nadia 2002 model (ex-Japan) is for sale. The car is registered,duty paid and comprehensively insured. The car has been well kept and mechanically maintained. It is in Dar Es Salaam. Here are the specs:
Year: 2002
Chassis: ACN10
Engine: 1 AZ, 1998 cc
Transmission: Automatic...
Iko sokoni.
Gari: Volkswagen Passat ya mwaka 2003. Injini yake ni 1.8L, 4 cylinders, manual transmission. Imetembea 105,000 kms. Imelipiwa kodi na kusajiliwa.
Bei: Tsh million 15 (maongezi yanakaribishwa).
Piga simu 0718 824 848 kwa maongezi zaidi.
Wana JF, tafadhali naomba ushauri kwa wale wenye na Toyota Corona Premio (1.8L engine). Ningependa kujua upatikanaji wa spea zake kwa bongo, utumiaji wa mafuta, uimara wake barabarani, n.k.
Nawashukuru.
Huo mfumo mpya unaongeza gharama maradufu.... Kwa haraka haraka gari ambalo ulikuwa unalipa kodi Tsh 3 millioni, sasa ni zaidi ya sh milioni 6. Na utaratibu huu umeanza toka June 1, 2011.
Wanajamvi,
Iko sokoni - Toyota Nadia iko katika hali nzuri kabisa.
Registered,full duty paid, 90,000 kms, automatic transmission, sports rims.
Other options: AM/FM Tuner, CD/DVD/TV, Dual airbags, Central lock,ABS,Power steering, A/C, Power windows, Power Seat (Driver), HID, Rear Spoiler
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.