Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake je cofigtn nitaifanyaje?manake wakati inaharibika ilikuwa na cnfgrtn ya tigo,mimi nataka nitumie...
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake je cofigtn nitaifanyaje?manake wakati inaharibika ilikuwa na cnfgrtn ya tigo,mimi nataka nitumie...
Wana jf kumekuwa na watu wanajiita sharobaro tz,na nasikia wana raisi wao.hv hiki ni chama,kampuni,saccos au ni kitu gani jaman.?ni nin sifa za kuwa member?umri gan au jinsia na rika gan wanafaa kuwa sharobaro.naomba details jaman.
Wadau wana jf.nimekuwa mpitaji sana humu,ila sikuwa member.nimejiunga rasmi ili nami niweze kuchangia mada+hoja mbalimbali.kwani jf imekuwa ndio kiburudisho changu ninapokuwa nimepumzika.pamoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.