I am so gratefully to inform all Students of the Institute of Finance Management(IFM),that the result for End of 1 semester are now released only through Students Information System (SIS )of Individual students accounts.Kudos IFM management.
wapendwa nilijaza onlinejobapp form ilikuwa ikihitaji majina 3 ,basically natumia majina mawili so nikajaza 1st name & last name other name nikaandika abbreviation ya first name,wakaniita kwenye wrttn ,kulikuwa na 4m ya kujaza jina no ya mtihani na signature bt due to time i writted only 2 name...
Kwa wale statistician ,naomba mnijuze what is the ideal decimal places for correlation values especially r,can i write all significant figures as they appear in calculator!
Wakuu jamvini nina mdogo wangu ambaye yeye alibahatika kuwa allocated na mkopo lakini cha kushangaza hadi sasa kwenye majina yote ambayo yamepelekwa chuoni kwake hajabahatika kuliona akiongea na loan officer anaambiwa batch yake bado haijatumwa sasa kwa sababu muda umekwenda sana tunaanza kupata...
Wakuu jamvini kuna mdogo wangu 1st year amepata mkopo lakini jina lake halionekani kwenye orodha ya majina yaliyotumwa kwenye chuo chake amejaribu kufuatilia ofisi ya mikopo chuoni hapo akaambiwa kuna batch nyingine itatoka,wenye uzoefu tafadhali utaratibu umekaaje katika hili?
Wapendwa ningependa kujua hawa watu wa CPA wataniadmit vipi couse nimemaliza ordinary diploma ya account pale IFM sasa sijui kama ntaanzia kwenye ATEC au kwenye modules.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.