Nakujibu kwa kiswahili,maana kizungu sijui vizuri.
Na kama unakijua kiswahili acha ulimbukeni.
Nijuavyo mie ni kwamba Swift Transfer Cost inategemea yafuatayo
-Nchi pesa inayotoka
-Bank ya mtumaji wa hizopesa,maana banks zinatofautiana Charges
-Bank ya wewe unaepokea hizo pesa,pia charges hutofautiana
-Currency alietumia mtumaji na Currency unayotumia wewe kwenye account yako(Hapa ndio balaa tupu,unaweza kulia)
-Pia Kiasi cha pesa kilichotumwa
Tatizo Banks nyingi hazina kiwango maalum,mie nimewahi kufanya hii kila bank ikanipa kiwango chake napia bado ukituma mpokeaji anakuambia pesa hazijatimia.Shida tupu kwenye hizi Bank charges
Nakujibu kwa kiswahili,maana kizungu sijui vizuri.
Na kama unakijua kiswahili acha ulimbukeni.
Nijuavyo mie ni kwamba Swift Transfer Cost inategemea yafuatayo
-Nchi pesa inayotoka
-Bank ya mtumaji wa hizopesa,maana banks zinatofautiana Charges
-Bank ya wewe unaepokea hizo pesa,pia charges hutofautiana
-Currency alietumia mtumaji na Currency unayotumia wewe kwenye account yako(Hapa ndio balaa tupu,unaweza kulia)
-Pia Kiasi cha pesa kilichotumwa
Tatizo Banks nyingi hazina kiwango maalum,mie nimewahi kufanya hii kila bank ikanipa kiwango chake napia bado ukituma mpokeaji anakuambia pesa hazijatimia.Shida tupu kwenye hizi Bank charges
InaitwA SWIFT CODE siyo COST.