Hello wana jamvi (Jamiiforums)
Nime detect hii kitu kwa mara ya kwanza mwaka 2016
Tangia hapo inashuka na kupanda
Nimetumia dawa za hospital
Bado hazileti nafuu
Angalau dawa za mitishamba(kisuna zile)
Naomba ushauri ama altenative kwa wanaojua hii kitu
Zote zikiwa na hali nzuri
Rav 4 2az engine
Less than 100000km
Prado 2000
Km 120000
Hapa tuzungumzie only
Durability
Spare parts
Changamoto zake .
Matumizi ni town trip km 20 daily
Na longtrip km 3000 mara 3 kwa mwaka na rough roud zimo kidogo
Napokea mapendekezo
Kila ntalifanyia kazi
Ipi ya...
Heshima kwenu wana jukwaa
Hapa ndo mahali pekee tunakutana na watu wa kila namna.na ngazi zote za elimu kwa nchi yetu, nisiwachoshe niende kwenye mada.
Natambua kuna sababu mbali mbali hufanya mtu asifike malengo/matokeo mazuri kwenye final exams.
Mfano Csee/Acsee and the like na option huwa...
Wakuu kuna hizi gar mbili
Premio 2005 odo 55000km tsh 13 no
Na rav4 2003 103000km tsh 15
Tofauti ya bei ni 2mil.
Ipi ya kuchukua hapo
Ushauri wenu ni muhim sana hasa wenye uzoefu na hizo gar yajwa hapo juu
kwa wakazi wa moshi na vitongoji vyake,ninafanya computer maintanance,any softawre installation,antivirus installation kama kaspersky internet security 2012,avg internet security 2012,eset nod,avast,mse. Speed up your computer at resonable price-contact 0716776292,or through PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.