Search results

  1. manock

    Ndoa

    Ck hz mtt mdg anazaa mapema ndiomaana ndoa hazidumu hakiolewa /kuoa ana mtt nje hyo ndoa ina tabu kwel kwel.
  2. manock

    Hppy new year

    Karibu baba lakn usiwe kama 2016. Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
  3. manock

    Kwanini mtoaji rushwa naye asiwajibishwe?

    Habari wanaJF. Naomba kujua, kila siku tunalalamikia swala la rushwa lakini tunamuhukumu mpokeaji tu, mtoaji hatumgusi. Kwanini wasikamatwe wote? Pia rushwa ya ngono hii itaisha au ni endelevu?
  4. manock

    X-mass ya kihistoria

    Naanza kwa kusema kuwa X-mass ya mwaka huu n y kukaa hme na familia. Tangu niwe na akili y kufahamu sikukuu ya mwaka huu cjawah kuiona aisee je ww una maoni gani
  5. manock

    Anguko la Bongo movie

    Siku hizi ukienda kuban CD za Bongo movie unaambiwa hamna lakini D jay Maphia zinapatikana, sijui watafanyaje au kanumba alidead na fani hii?
  6. manock

    Kwanini watanzania tunasoma ili tuajiriwe?

    Kwanini sisi Watanzania tunasoma ili tuajiriwe? Nimejiuliza tufanyeje kutatua tatizo hili maana tukiambiwa tujiajiri tunaanza kulalamika kwa sababu tumekariri ukisoma lazma uajiriwe. Mimi nashauri tuache mfumo huu wa kutegemea kuajiriwa. Ukisomea sekta yoyote uwe unaweza kujiendeleza mwenyewe...
  7. manock

    Sasahivi wanaume tunaheshimiwa

    Sasahivi wanaume tunaheshmiwa kinoma ahsante mh. Maana mabinti walikuwa wanazarau sana. 9t njema.
  8. manock

    Ushauri: upeleka walimu mikoa ya Mbali na kwao kunachangia kuwaachisha kazi

    Napenda kuchukua nafasi hii kutoa maoni kuhusu kupeleka walimu vijijini na wakaishi Bila shida yoyote, kipindi wanawagawanya walmu mfano walimu kutoka mwanza unawagawa wilaya tofaut eg. Misungwi to Sengerema pia Sengerema to Biharamulo maana yake hata wilaya za mkoa jirani. Tunaepuka nini...
  9. manock

    Somo: Ustawi wa jamii toeni elimu ya ndoa za umri mdogo

    Kuna familia au makabila ambao bado wanaamini ndoa za utotoni/umri mdogo kuwa linaeza kuondoa umasikini achana na imani potofu.
  10. manock

    Hali ya saivi vs ya nyuma enzi hizo za mzee

    Watu wanalalamka eti hali ya maisha magumu mbona Tanzania haijalalamika kuwa haina hali mbaya, mbona humu jamii hamna omba omba kila siku si mnakula, vocha mnaeka mbona hamlalamiki badala kununua chakula unanunua vocha eti hali ngumu. Ahsante mkulu ilifikia mahala hata muuza nyanya anajigamba...
  11. manock

    Ushauri kuhusu utendaji kazi

    Ukitaka kupiga kazi piga kazi, usijali mwenzako kafanyaje. Jiamini, ondoa woga, usipaniki. Kama kiongozi aliyebobea, usipende sifa, fikiri kabla ya kutenda n.k. Kwahiyo wenye tabia hizo wajirekebishe na kufanya kazi kwa kutumia vyombo vya habar sio tija.
  12. manock

    Wazee awamu hii hawana nafasi?

    Habari wakuu, Kama tujuavyo hakuna kijiji kinachokosa wazee. Je, awamu hii wazee hawana nafasi?
  13. manock

    Dawa kukosekana hospitali za serikali na kupatikana hospitali binafsi, hili limekaaje?

    Hivi dawa kukosekana hospitali za serkali na kupatikana hospitali binafsi likoje wadau? Yani sekta ya binafsi zinaenda MSD zinatoa cash zinapata dawa ila halimashauri zikienda zinagonga mwamba au nini?
  14. manock

    Kwanini wadahiliwe wengi vyuoni kama hawawezi kupewa ajira?

    Nashindwa kuwaelewa wanaodahili vijana wengi halafu siku ya kutoa ajira wanatoa ajira chache. Sasa mlidahili wa nini? Wapate elimu halafu wakajiajiri na wasipojiajiri hela ya kurudisha mkopo wataitoa wapi? Serikali haioni inapoteza pesa pale wanachuo wanapohitimu na kukosa ajira? Siku hizi la...
  15. manock

    Elimu: Hivi Wizara inaliona hili la shule zilizojengwa kwa makuti kuanzia chini mpaka juu?

    Nakumbuka ITV ndicho chombo cha habari kilicholeta /kuonyesha shule zilizojengwa Kwa makuti kule nyanda za kusini mwa tz, je wizara imefanya maamuz gan kulitolea ufafanuz tatzo maana ss tunakumbuka hiz mambo n za enz hzo
  16. manock

    MOROGORO: Migogoro ya wafugaji na wakulima mpaka lini?

    Nashindwa kuelewa hili tatzo tokea nko darasa la tano mwaka 2004 nasikia migogoro ya wafugaji na wakulima lakini kabla sijaenda mbali nini maana ya Morogoro yawezekana hili tatizo lilkuepo tokea enzi hizo ndo maana ikaitwa Morogoro au? Maoni yangu ni hayo nadhani wafugaji ndio wanawafuata...
  17. manock

    Nimesomea mambo ya social welfare

    Kama Kuna mtu anatatzo kuhusu Hilo anione
  18. manock

    Nchi yetu inapinga sana swala la ushoga, imeshindwa nini kuwaadabisha?

    Nchi yetu inapinga sana swala la ushoga imeshindwa nn kuwaadabisha wanaofanya vtendo hv ambavyo s utamaduni tokea dunia inaumbwa? Nitoe maoni kila sehm najua Kuna baloz, m/kit wa mtaa, Afisa m/kata/mtaa, Diwani, mbunge, kamati y vyombo vya usalama halafu m/kit...
  19. manock

    Wazee wetu waliwezaje kuishi kwa mila na desturi? Sisi tumeshindwa

    Za asubuhi wakubwa, Naanza kuuliza hivi wazee waliwezaje kuishi kwa mila na desturi? Maana siku hizi mila na desturi hamna kabisa, heshma hamna, ajulikani mkubwa na mdgo ni yupi. Swala la mavazi huko ndo useme Dar wa nakwambia joto vipi zamani kulikuwa hakuna joto? Mikoani wanaiga akiingia...
  20. manock

    Ajira c zlishatoka

    Ajira ziltoka ck nyng, mbna ktk wizara huska hazitolew? Tujuzane vjana mtaan wameongezeka
Back
Top Bottom