manock
Member
- Nov 7, 2016
- 97
- 37
Za asubuhi wakubwa,
Naanza kuuliza hivi wazee waliwezaje kuishi kwa mila na desturi? Maana siku hizi mila na desturi hamna kabisa, heshma hamna, ajulikani mkubwa na mdgo ni yupi. Swala la mavazi huko ndo useme Dar wa nakwambia joto vipi zamani kulikuwa hakuna joto?
Mikoani wanaiga akiingia kidogo anabadilika mpaka anataka kukuzidi wewe ambae ulimleta au kakukuta. Kingine wazazi mko wapi watoto wanavaa nguo ambazo hazistahili mnawaona hila mnajifanya hamnazo kumbuka wewe mzazi ulimtangulia mwanao una wajbu wa kumuendo ipasavyo ifike mahali tubadilike, tumuogope mungu.
Sikia hii sasa, eti mama anavaa hereni, wigi, anapaka lipstick. Dada nae anafanya. Cha kushangaza kaka nae anafanya tutajibu nini siku ya kiama ni hayo tu from kyanshenge village in [HASHTAG]#muleba[/HASHTAG].
Naanza kuuliza hivi wazee waliwezaje kuishi kwa mila na desturi? Maana siku hizi mila na desturi hamna kabisa, heshma hamna, ajulikani mkubwa na mdgo ni yupi. Swala la mavazi huko ndo useme Dar wa nakwambia joto vipi zamani kulikuwa hakuna joto?
Mikoani wanaiga akiingia kidogo anabadilika mpaka anataka kukuzidi wewe ambae ulimleta au kakukuta. Kingine wazazi mko wapi watoto wanavaa nguo ambazo hazistahili mnawaona hila mnajifanya hamnazo kumbuka wewe mzazi ulimtangulia mwanao una wajbu wa kumuendo ipasavyo ifike mahali tubadilike, tumuogope mungu.
Sikia hii sasa, eti mama anavaa hereni, wigi, anapaka lipstick. Dada nae anafanya. Cha kushangaza kaka nae anafanya tutajibu nini siku ya kiama ni hayo tu from kyanshenge village in [HASHTAG]#muleba[/HASHTAG].