Hali ya saivi vs ya nyuma enzi hizo za mzee

manock

Member
Nov 7, 2016
97
37
Watu wanalalamka eti hali ya maisha magumu mbona Tanzania haijalalamika kuwa haina hali mbaya, mbona humu jamii hamna omba omba kila siku si mnakula, vocha mnaeka mbona hamlalamiki badala kununua chakula unanunua vocha eti hali ngumu. Ahsante mkulu ilifikia mahala hata muuza nyanya anajigamba sh400.4rm Muleba hmland.
 
manock
Member
27
Profile Page Start a Conversation Follow Ignore
Member Since:

Nov 7, 2016

Messages:

38
.......karibu mgeni uliejiunga nas nov 7 na umeanza kutukana wakubwa zako


Form 4 na form 2 naona mmekuja kutukana wakubwa zenu baada ya kumaliza mitihani yenu na kuanza likizo!,ila ukubwa jalala kwahiyo tutawavumilia...

Sikulaum maana hata mm nilikuwa na akili kama yako nilipokiwa umri wako ingawa nahisi yako ina matope zaid ya ilivokuwa yangu kipindi hiko!,
Kitendo chako cha kuchukulia kuwa mawasiliano ni anasa ni kipimo tosha cha upeo wa akili yako!,kwa aliyesoma na aaiyesoma tambua bila simu mambo ya kibiashara ni vgum sana kuwa smooth,

Pia yalaekea umetoka kuchukua kadi yako ya kijani ya uanachama so unatetea chama na govt,hata mm nakumbuka nilipopewaga kadi enzi hizo nilikuwa natetea kila jambo la govt kwa sabab kibao hata za uongo!

NUKUU"USITUKANE MAMBA KBLA HUJAVUKA MTO&KAMA BADO UNA KIZAZ BHAS USITUKANE WAKUNGA"
 
Watu wanalalamka eti hali ya maisha magumu mbona Tanzania haijalalamika kuwa haina hali mbaya, mbona humu jamii hamna omba omba kila siku si mnakula, vocha mnaeka mbona hamlalamiki badala kununua chakula unanunua vocha eti hali ngumu. Ahsante mkulu ilifikia mahala hata muuza nyanya anajigamba sh400.4rm Muleba hmland.
Hujasomeka kabisa au uko nyumba ya wageni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom