Search results

  1. hafidh ayoub

    Naomba mnisamehe kwa matusi niliyowatukana sio mimi ni mahaba

    Mimi hujanigusa kbs izo akili zako mda mwingne utajiponza
  2. hafidh ayoub

    Majibu sahihi juu ya sauti za milipiko dar

    Msiwe na wasi wasi watanzania...tuko salama na ulinzi wa kutosha hizo ni fataki tuu wala sio mabomu....kuweni na amani
  3. hafidh ayoub

    DAR: Kuna milipuko inasikika katikati ya Mji, kuna nini?

    Noooo msiwe na wasi wasi kuna usalama ni fataki tuuu zinapigwa
  4. hafidh ayoub

    DAR: Kuna milipuko inasikika katikati ya Mji, kuna nini?

    Aiseee hata mimi nipo msimbaz center hapa ila mizinga na milipuko inazidi
  5. hafidh ayoub

    Natafuta kijana wa kumfundisha ufundi

    Ausee niwekee namba yako hapa au nicheck 0656411970
  6. hafidh ayoub

    Vitabu kumi bora vilivyonunuliwa na kusomwa zaidi duniani, umesoma vingapi kati ya hivyo?

    Unahisi nan alikitengeneza sasa maana uanaongea bila kufkiria mwisho wa maneno yako nini kitatokea
  7. hafidh ayoub

    Hii nchi haijawahi kuishiwa chanjo za watoto wala vitabu vya passport ila awamu hii, kulikoni?

    Sidhani kama wewe serikar imekuamini na kukupa kazi kama unaweza kuongea maneno hayo hadharani..na unatumia kodi za wanyongee...
  8. hafidh ayoub

    Hii nchi haijawahi kuishiwa chanjo za watoto wala vitabu vya passport ila awamu hii, kulikoni?

    Jamani mwenyewe nashangaaa toka mwezi wa saba nimepeleka ombi langu la paspory nilipata kazi huko dubai..imefika hatua mpaka taasisi iliyokuwa ikiniitaji imekata tamaa...inamaana naelekea kukosa kazi. Nchi yang ktk suala la ajira ndo kwanza inaanza kukusanya mapato. Tufanyeje sisi kumbe tatizo...
  9. hafidh ayoub

    Vitabu kumi bora vilivyonunuliwa na kusomwa zaidi duniani, umesoma vingapi kati ya hivyo?

    Inamaana quraan sio kitabu mbona mnaanza kutudhihirishia kuwa uwezo wenu wa kufkiria ni mdogo sana
  10. hafidh ayoub

    Kiba & Mondi wapo pamoja studio

    Alikiba lazm udhaifu wake uonekane... na kama alikuwa amezoe kubustiwa na bifu sasa mambo kwisha
  11. hafidh ayoub

    Naishauri serikali kufanya awamu ya uongozi kuwa miaka kumi ili kuokoa fedha na kupunguza chuki

    Wakati mwingine tunaweza kuwaza kuwa uchaguzi mkuu kila baada ya miaka mitano ni miradi ya watu fulani...ili kujipatia kipato
  12. hafidh ayoub

    Naishauri serikali kufanya awamu ya uongozi kuwa miaka kumi ili kuokoa fedha na kupunguza chuki

    Habari wana JF na serikali yangu, kwa kawaida serikali ya Tanzania imechukulia kama suala la raisi kuongoza nchi kwa miaka kumi kama mfumo rasmi. Na imekuwa ikipoteza fedha nyingi katika maandalizi ya uchaguzi mkuu hasa wabunge na rais na matokeo yake hakuna mabadiliko yoyote badala yake ni...
  13. hafidh ayoub

    Wasanii wa Fiesta waingia bungeni, wachanga milioni 40 kwa maafa ya Bukoba

    Miss confds...si vizuri kutaja wema uliowatendea wenzako maana sote tumekua kwa misaada ya watu fulani. Ila kiufupi msaada wang ulifika kwa walengwa.
  14. hafidh ayoub

    Wasanii wa Fiesta waingia bungeni, wachanga milioni 40 kwa maafa ya Bukoba

    Ahsante mungu kilio chang kimeskika.. ningekuwa mtu wa kwanza kuwashangaa wasanii kama wasingeifanyia chochote bk
  15. hafidh ayoub

    Kilichonifanya niachane na kuangalia "Local News"

    Ila uwezo wangu wa kuchambua taarifa na kupambanua kwa mapana unaongezeka hata kama ni theluthi moja
  16. hafidh ayoub

    Kilichonifanya niachane na kuangalia "Local News"

    Ni sawa sipingani na mawazo yenu lkn siri ya kuwa mfatiliaji bora sikuzote umsikiliza hata kichaa kwan kuna muda anaweza kuongea point.. na sio kwamba vyombo vyetu hawezi kutoa habari nzuri ila ni mfumo wa mahala vilipo na itikadi za kisiasa zilizotawala taaluma yao, na hata wale mnaowaamini...
  17. hafidh ayoub

    Mmbwana Samatta special thread

    Huo ndio mtazamo wake katika soka cha ajabu atakwambia anwaza kuwa steick mkubwa dunian
  18. hafidh ayoub

    Wasaniii wa tanzania hasa bongo fleva wamepokeaje maafa ya kagera.

    Habari ndugu zangu. Tunafaham kuwa ni siku chache tu tetemeko la ardhi limetokea mkoa wa kagera na kuathiri maeneo mengi hasa manispaa ya bukoba. Na siku kadhaa kabla ya tetemeko tukio la msimu wa fiesta lilipita mkoani humo,wasanii weng waliona jinsi gani wanapendwa na mashabiki zao baada...
Back
Top Bottom