Kilichonifanya niachane na kuangalia "Local News"

Ni sawa sipingani na mawazo yenu lkn siri ya kuwa mfatiliaji bora sikuzote umsikiliza hata kichaa kwan kuna muda anaweza kuongea point.. na sio kwamba vyombo vyetu hawezi kutoa habari nzuri ila ni mfumo wa mahala vilipo na itikadi za kisiasa zilizotawala taaluma yao, na hata wale mnaowaamini kuwa wanatoa taarifa bora chimbuko lao ni huku.
Unpoteza muda kusikiliza visivyo na maana.
 
Mm naangalia TV na Jf pia nipo kama kawaida, wakati mwingine Jf wanaweka kipande kidogo labda alichoongea Mh raisi huku wachangiaji wakikiendeleza na kumsema vibaya kwamba hii nchi hii imekufa mpaka watu wengine wanaijutia Tanzania yao, cha ajabu ukiangalia taarifa ya habari maelezo yanayoelezwa yalikuwa na maana tofauti ingawa hilo neno nikweli limetamkwa.

Ili kujiridhisha mpaka nione mwenyewe nishuhudie kwa taarifa ya habari esp ITV. Kingine huwa natembelea blogs kama MUUNGWANA na MTEMBEZI na MILLARD AYO kila siku na vitu vingi sana tunavikosa kwenye Jf havipo lakini kwenye hizi blogs unazikuta na ni taarifa muhimu.

Hongera kwa JF iendelee kupata mafanikio zaidi na zaidi tuzidi kuhabarika.
 
A single place where you get what the mainstream media can't offer!
 
Back
Top Bottom