Habari wana JF wote,
Naomba nitoe shukurani nyingi sana kwa wanajf wote walionipa ushauri kuhusiana na thread yangu niliyoanzisha hapa kuomba ushauri wa nn cha kufanya baada ya kupata dv 4 ya point 18(form 6). Nilikata tamaa sana, nilivunjika moyo kwa kiasi kikubwa sana, lakin NAWASHUKURU SANA...
NAHISI DUNIA IMENIGEUKA,
muda wangu wote,juhudi zangu zote,ndoto zangu zote,
maisha yangu yote naona kama ndiyo yamefikia mwisho.
Nilifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidates,
lakin NIMEFELI nina Dvn four (4) ya 18,GS-s,hst f, kisw -D,na eng f.
ndoto za kwenda chuo kikuu...
NINA RAFIKI YANGU WA KIKE NI MFANYAKAZI ANAOMBA USHAURI KATIKA HILI.
ANA RAFIKI YAKE WA KIUME WANA UHUSIANO KWA MUDA WA MIAKA 9. SASA HIVI MWANAUME ANAMWOMBA AMUOE , ILA MWANAMKE AMEKATAA NA AMEMWAMBIA SABABU YA KUKATAA, ILA JAMAA AMEMWAMBIA BADO ANAMPA MUDA WA KUFIKIRIA ZAIDI LABDA ANAWEZA...
Habari ndugu wadau wa elimu,
samahani naomba ufafanuzi katika hili,
mtoto wa darasa la kwanza kweli anatakiwa kufundishwa haya yote kwa umri wa miaka 6-7 alionao?
1-kiswahili
2-english
3-mathematics
4-science
5-reading
6-v/skills
7-pds
8-spelling
je katika umri huo ataelewa vizuri masomo...
Habari?,
Samahani naomba niambiwe tiba ya vipele kwenye ngozi kwa mtoto au doctor bingwa zaidi wa magonjwa ya ngozi kwa watoto.
Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano agakhan,tmj,tumaini,Dr hammeir,Dr ndodi na amepimwa vipimo mbalimbali hajaonesha kama ana tatizo lolote.
Kwenye...
Dispensary hii iliyopo ndani ya kota za nssf kinyezirezi je imesajiriwa?.
Ni mojawapo ya hizi kota, upande wanaishi familia hiyo, then upande ndiyo wamefanya dispensary.
Huduma inaendelea kama kawaida ila wasiwasi wangu ni je inakidhi kweli viwango? Hasa suala la usalama na usafi, je wahudumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.