Nawashukuru sana wana jf kwa........

nnunu

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
654
230
Habari wana JF wote,
Naomba nitoe shukurani nyingi sana kwa wanajf wote walionipa ushauri kuhusiana na thread yangu niliyoanzisha hapa kuomba ushauri wa nn cha kufanya baada ya kupata dv 4 ya point 18(form 6). Nilikata tamaa sana, nilivunjika moyo kwa kiasi kikubwa sana, lakin NAWASHUKURU SANA KWA USHAURI WENU MLIONIPA,ULINIINUA,ULINAPA MWANGA MPANA SANA, NILIUFANYIA KAZI (baadhi...lol siyo ushauri wote). Sept naanza chuo rasmi kusomea diploma.
Kila jambo jema liwe sehemu ya pumzi yenu, MUNGU AZIDI KUWABARIKI ,AWAZIDISHIE UPENDO,HEKIMA NA BUSARA ZAIDI. NAWAPENDA ZAIDI, ASANTENI SANA.
 
Hongera Nnunu,kujikwaa sio kuanguka,kwa kuwa umeona nuru baada ya giza totoro ifuate nuru hiyo ikupeleke katika mafanikio.Soma signature ya mdau wa MMU anayeitwa Mr. Rocky,mimi kwa kompyuta ni maimuna vinginevyo ningikopi na kuitumbukiza hapa.
 
Hongera vp umepata chuo gani? Na unaenda kusoma dip ya kitu gani? Blessing be wit you.
 
Mkuu Mungu akusaidie na uweze kufanikiwa kaktika safari yako ya masomo
Na maisha pia Mungu akutangulie
 
Likitokea jambo lolote lile ni lazima maisha yasonge mbele badala kuanza kujilaumu, nakupongeza kwa kupata chuo ongeza juhudina kumuomba Mungu kwenye masomo yako utafanikiwa tu.
 
Likitokea jambo lolote lile ni lazima maisha yasonge mbele badala kuanza kujilaumu, nakupongeza kwa kupata chuo ongeza juhudina kumuomba Mungu kwenye masomo yako utafanikiwa tu.

Na umeonyesha moyo sana hata kurudi kuja kutoa shukrani maana wengi huwa wanaishia huko huko hawakumbuki kama walipata ushauri hapa
 
Na umeonyesha moyo sana hata kurudi kuja kutoa shukrani maana wengi huwa wanaishia huko huko hawakumbuki kama walipata ushauri hapa
<br />
Nisingeweza kufanya ksb hali niliyokuwa kipindi hicho matokea kilikuwa kibaya sana, lakin ushauri wana Jf ndiyo uliyoniondolea na kunifuta machozi na huzuni yangu moyoni. Sitawasahau ktk safari yangu ya elimu, na naahidi hata nitakapomaliza hiyo diploma yangu sitasahau kuleta matokea yangu hapa.
Kila ninaposafiri sijawahi wala sikumbuki kama nimewahi kusahau sehemu ya kivuli nilichopumzikia wakati wa safari yangu. Wana jf ni sehemu ya kivuli changu pasipo nyie safari isingefika hapa nilipo leo na hata nitakapokuwa siku zijazo. ASANTENI SANA.
 
Likitokea jambo lolote lile ni lazima maisha yasonge mbele badala kuanza kujilaumu, nakupongeza kwa kupata chuo ongeza juhudina kumuomba Mungu kwenye masomo yako utafanikiwa tu.
<br /
ASANTE SANA ,na WEPESI WA TATIZO UONEKANA PINDI UNAPOPATA WATU WA KUKUPA MOYO WA KUSONGA MBELE.
NAAHIDI KUSOMA KWA BIDII SANA, ILI NIWEZE KUTIMIZA NDOTO ZANGU.
 
<br />
Nisingeweza kufanya ksb hali niliyokuwa kipindi hicho matokea kilikuwa kibaya sana, lakin ushauri wana Jf ndiyo uliyoniondolea na kunifuta machozi na huzuni yangu moyoni. Sitawasahau ktk safari yangu ya elimu, na naahidi hata nitakapomaliza hiyo diploma yangu sitasahau kuleta matokea yangu hapa.
Kila ninaposafiri sijawahi wala sikumbuki kama nimewahi kusahau sehemu ya kivuli nilichopumzikia wakati wa safari yangu. Wana jf ni sehemu ya kivuli changu pasipo nyie safari isingefika hapa nilipo leo na hata nitakapokuwa siku zijazo. ASANTENI SANA.

Mungu akutangulie katika kila ulilopanga kufanya na ubarikiwe sana sana
 
Hongera mpenzi, safari ndo imeanza tena. Jitahidi usiwe mzembe ili ufanikishe malengo yako. Mwenyezi Mungu akutangulie!
 
Hongera Nnunu,kujikwaa sio kuanguka,kwa kuwa umeona nuru baada ya giza totoro ifuate nuru hiyo ikupeleke katika mafanikio.Soma signature ya mdau wa MMU anayeitwa Mr. Rocky,mimi kwa kompyuta ni maimuna vinginevyo ningikopi na kuitumbukiza hapa.
<br />
Shukurani Bishanga, nuru niliyoiona imetoka kwenu ndugu na rafiki zangu wanajf. Nyie ndiyo mlionitoa kwenye ilo giza totoro ASANTENI SANA. Kuhusu signature ya Mr Rocky bahati mbaya siioni ksb natumia kasim hakaoneshi. Ila itabidi nitafute njia ya kuisoma hiyo signature.
<br />
 
Problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime.


Signature yangu hiyo hapo mkuu isome
 
<br />
Nisingeweza kufanya ksb hali niliyokuwa kipindi hicho matokea kilikuwa kibaya sana, lakin ushauri wana Jf ndiyo uliyoniondolea na kunifuta machozi na huzuni yangu moyoni. Sitawasahau ktk safari yangu ya elimu, na naahidi hata nitakapomaliza hiyo diploma yangu sitasahau kuleta matokea yangu hapa.
Kila ninaposafiri sijawahi wala sikumbuki kama nimewahi kusahau sehemu ya kivuli nilichopumzikia wakati wa safari yangu. Wana jf ni sehemu ya kivuli changu pasipo nyie safari isingefika hapa nilipo leo na hata nitakapokuwa siku zijazo. ASANTENI SANA.

<br /
ASANTE SANA ,na WEPESI WA TATIZO UONEKANA PINDI UNAPOPATA WATU WA KUKUPA MOYO WA KUSONGA MBELE.
NAAHIDI KUSOMA KWA BIDII SANA, ILI NIWEZE KUTIMIZA NDOTO ZANGU.
Ubarikiwe na Mungu akutangulie kwenye kila jambo
 
<span style="font-family: Verdana"><font color="red"><b><i><font size="2">Problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime.</font></i></b><br />
<br />
<br />
Signature yangu hiyo hapo mkuu isome </font></span>
<br />
<br />
Nakuunga mkono % zote, Nimeisoma, asante kwa kunirahisishia kuipata.
 
Hongera mpenzi, safari ndo imeanza tena. Jitahidi usiwe mzembe ili ufanikishe malengo yako. Mwenyezi Mungu akutangulie!
<br />
<br />
ASANTE SANA Kapipi, ntahakikisha siwi mzembe ili nitekeleze kile kilichonipeleka huko. Nashukuru kwa kunipa moyo zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom