nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Habari wana JF wote,
Naomba nitoe shukurani nyingi sana kwa wanajf wote walionipa ushauri kuhusiana na thread yangu niliyoanzisha hapa kuomba ushauri wa nn cha kufanya baada ya kupata dv 4 ya point 18(form 6). Nilikata tamaa sana, nilivunjika moyo kwa kiasi kikubwa sana, lakin NAWASHUKURU SANA KWA USHAURI WENU MLIONIPA,ULINIINUA,ULINAPA MWANGA MPANA SANA, NILIUFANYIA KAZI (baadhi...lol siyo ushauri wote). Sept naanza chuo rasmi kusomea diploma.
Kila jambo jema liwe sehemu ya pumzi yenu, MUNGU AZIDI KUWABARIKI ,AWAZIDISHIE UPENDO,HEKIMA NA BUSARA ZAIDI. NAWAPENDA ZAIDI, ASANTENI SANA.
Naomba nitoe shukurani nyingi sana kwa wanajf wote walionipa ushauri kuhusiana na thread yangu niliyoanzisha hapa kuomba ushauri wa nn cha kufanya baada ya kupata dv 4 ya point 18(form 6). Nilikata tamaa sana, nilivunjika moyo kwa kiasi kikubwa sana, lakin NAWASHUKURU SANA KWA USHAURI WENU MLIONIPA,ULINIINUA,ULINAPA MWANGA MPANA SANA, NILIUFANYIA KAZI (baadhi...lol siyo ushauri wote). Sept naanza chuo rasmi kusomea diploma.
Kila jambo jema liwe sehemu ya pumzi yenu, MUNGU AZIDI KUWABARIKI ,AWAZIDISHIE UPENDO,HEKIMA NA BUSARA ZAIDI. NAWAPENDA ZAIDI, ASANTENI SANA.