Kama ni zero ku re-sit inakuaga shughuli sana kufaulu kwani wengi hupata 4 na 0 tena na wachache sana 3, kwaio ni bora kuingia katika taaluma nyingine kama veta na vyuo kama hivyo
Unajua Mtu mwenye hekima huongea akiwa na kitu cha kuongea, lakini mpumbavu huongea kwa sababu anataka kuongea.... Kwaio kama huna cha maan cha kuongea bora unyamaze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.