Ukimuuliza mwanamke yeyote ni aina gani ya mwanaume anayemhitaji, unaweza kukutana na majibu kama vile, mpole, mcheshi, mwenye uwezo wa kunihudumia na anayenipenda kama ninavyompenda mimi. Wakati haya yote yanaweza kuwa sahihi isipokuwa kigezo cha mwisho hapo juu, namna ambavyo wanaume...
Wanajamvi, kama kuna mtu mwenye kufaham juu ya chuo hiki tafadhali nahtaji msaada,
Nipo Dar sasa ila
Nimechaguliwa hapo.
Kwenye web sikipati,simfaham yeyote alichaguliwa hapo na sina hata info yoyote from the college.
Msaada tafadhali...
Mawacliano yangu ni 0744186882
Wakuu nko na rafika yangu amefanya application NACTE jumamosi. Yani sasa hvi amenipigia simu kanambia kua alijaza CERTIFICATES badala ya DIPLOMA na deadline ya kuapply ni leo usiku... Tusaidiane mawazo ya haraka wakuu tumsaidie.., inakuaje hapo!?
Huyo aliekuwa naye wakati anakutema ww yuko wapi sa hvi!!? Tatizo siyo kulalamika...!! Tatizo ni kwamba: wewe utamwamini tena kama ulivokua ukimwamini mwanzo?? Bila shaka jibu ni HAPANA, na kama ni hivo basi utajikuta unaingia katika uhusiano wenye mashaka, kutojiamini na hofu, jambo ambalo siyo...
Ila bana kaka uliekutwa na mkasa kama wangu... fikiria mwenyewe. Hapo me sioni kama kuna haja ya sisi kukwambia kama huo upendo wake ni wa.kweli au la. Kila kitu kiko wazi....!
Mimi story yangu iko kama yako EXACTLY. Sema yeye naye kafaulu kama mimi....! hanitafti. Tunapishana tu kwenye group la whatsapp la schoolmates. Kaushia tu blaza muda wa kazi huu "Mapenzi yatakutafta, sio wewe utafute mapenzi" mimi nimekaushia tu sa hivi life goes on!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.