Habari za wakati huu wanajukwaa.
Ninataka kufanya ufugaji wa ng'ombe wenye tija ila niko njia panda kuhusu wapi kuna faida zaidi kati ya kufuga ng'ombe dume au majike.
Nilihitaji kuanza na ndama watatu ambao sio wale wa kienyeji kabisa bali chotara kiasi.
Hapa nipo njia panda nichukue ndama...
Wasalaam wanaJf,
Kama kichwa kinavyojieleza ninahiasil kama nina karoho flani ivi cha kukataliwa na kutokukubalika na watu wanaonizunguka kwani kina mda najiona kama mimi ndo najipendekeza zaidi kwa watu.
Hii hali naiona sasa kama inazidi na inanikosesha amani kiasi fulani.
Je,kuwa katika...
Habari wanajukwaa,mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012 kwa matokeo haya:
Civics -C
History - C
Kiswahili -C
Geography -B
Biology - D
Math's- F
English-F
Nilikua na mpango wa kujiendeleza zaidi kielimu wakati huo ila ya Mungu mengi hivyo nikasoma ualimu msingi na kuajiriwa 2018...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza,naomba kujuzwa zaidi aliewahi kununua bidhaa kwao je ni za uhakika na ubora kama zinavyotangazwa?!
Nimeona matangazo yao Instagram
Mwanaume uliekamilika huwezi kufanya haya popote nikikuona najua una vinasaba vya 'ushoga'
1. Mwanaume kupaka super black
2. Mwanaume kuchora tattoo
3. Mwanaume kuvaa suruali kama ya dadaako
4. Mwanaume kutoboa sikio
5. Mwanaume kuchekacheka ovyo
6. Mwanaume kutuma meseji umeandika...
Kwema wakuu,,
Nahitaji kamsaada kadogo hapo pichani niweze kuziona apps/software maana baada ya kuja hivyo vi 'menu' nilivyovizngushia duara nashindwa kuupenda mwonekao w pc
NB;sina utaalamu wa computers.msinicheke
Sent using Jamii Forums mobile app
wadau kwema??nimeng'atwa na n'ge mida hii,,na nimethibitisha baada ya kumuua,,nasikia maumivu makali sana maana ameniuma mkono wa kushoto,huduma ya kwanza ni ipi nijisaidie??
________________________________________________________________________________________________________
wakuu nimerudi...
1.Samsung smart tv 3D LED model no UA46ES8000
*INCH46
pia na accessories;
*bluetooth hub
*Remote 2 smart & ya kawaida
*4 3D glasses
Bei 2.5m fixed
2.FRIDGE YA SAMSUNG
3.Ac
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.