kush moker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 579
- 367
Wasalaam wanaJf,
Kama kichwa kinavyojieleza ninahiasil kama nina karoho flani ivi cha kukataliwa na kutokukubalika na watu wanaonizunguka kwani kina mda najiona kama mimi ndo najipendekeza zaidi kwa watu.
Hii hali naiona sasa kama inazidi na inanikosesha amani kiasi fulani.
Je,kuwa katika hali hii kuna uhusiano gani kiimani na kiroho?
Karibu kwa ushauri.
Kama kichwa kinavyojieleza ninahiasil kama nina karoho flani ivi cha kukataliwa na kutokukubalika na watu wanaonizunguka kwani kina mda najiona kama mimi ndo najipendekeza zaidi kwa watu.
Hii hali naiona sasa kama inazidi na inanikosesha amani kiasi fulani.
Je,kuwa katika hali hii kuna uhusiano gani kiimani na kiroho?
Karibu kwa ushauri.