habari wana jamii?
Tafadhali mwenye software ya canon photocopy iR2016 anisaidie wandugu. Mimi nipo mtwara na nina hii machine nashindwa kuitumia.
natanguliza shukrani zangu
Wazee laptop yangu haina setup yoyote ya internet, yaani nikiunga network cable haitoi ishara yoyote kama imekuwa connected. Na nikienda kwenye my network places nakuta network za moderm tu na mimi nataka nitumie cable ya ofisini. Jamani tafadhali nisaidieni na hili. Nasubiri mtaalamu yeyote...
I need to open my new modern Barbershop in southern region of Tanzania. Please anyone who know where I can purchase all items including hydraulic master barber chairs, kiddie styling chairs, massage table, back wash shampoo unit, hydraulic facial table, aroma facial steamer, cutting stool...
Wana JF habari? Naombeni wajemeni mnisaidie nimpate rafiki yangu Bwana David Kupaza. Nilisoma nae shule ya sekondari Usagara Tanga kuanzia mwaka 1995-1998. Baadae alijiunga high level na shule moja ya Morogoro siikumbuki vizuri lakini itakuwa ni hizi za seminari na pia alisoma chuo cha uhasibu...
Wana JF habari? Naombeni wajemeni mnisaidie nimpate rafiki yangu Bwana David Kupaza. Nilisoma nae shule ya sekondari Usagara Tanga kuanzia mwaka 1995-1998. Baadae alijiunga high level na shule moja ya Morogoro siikumbuki vizuri lakini itakuwa ni hizi za seminari na pia alisoma chuo cha uhasibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.