Sasa hiyo photocopy unataka kuitumia kama printer au? ni pm nikupe maelekezo.habari wana jamii?
Tafadhali mwenye software ya canon photocopy iR2016 anisaidie wandugu. Mimi nipo mtwara na nina hii machine nashindwa kuitumia.
natanguliza shukrani zangu
Mkuu hiyo photocopy unaweza ukaprint ndio ninayoitumia ofisini ndio maana nikamuuliza muhusika anataka kuitumia kama printer kwani you think software ya hiyo mashine ataifunga kwenye nini?tumia kama photocopy haina kadi ya printer, ir2318 hii ina cadi waweza printi nayo