Nashangazwa na tabia za baadhi ya wasanii kuhama chama na kujitangaza kwenye media.Nisichokielewa hapa ni kweli wanafuatilia siasa kiasi cha kuvutiwa na Sera za chama anachohamia au kutafuta umaarufu zaidi? Au wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kuvuruga misimamo ya watu kwa vile wanavyoviamini...
FLASHLIGHT TRAINING COLLEGE INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO YA COMPUTER NA SECRETARIAL.CHUO KIPO KONDOA MJINI. Mawasiliano: 0688434525, 0755358180. Wote mnakaribishwa.
habari zilizonifikia hivi punde zinaonesha hali kuwa mbaya zaidi ktk mgomo wa wanafunzi udom(coed)pale ambapo wachache wanaojipendekeza kwa wakubwa wa chuo kuingia madarasani huku wengine wakiendelea na mgomo na kusimamia madai yao ya msingi.hali hii inahatarisha maisha ya wanaharakati wa...
Baada ya kile kinachodaiwa kushindwa kwa serikali legelege ya wanafunzi wa kitivo hicho, kusimamia msimamo wao wa wazirl mkuu mh.Pinda kuongea na wanafunzi wote,vilevile hasira kali zimeibuka miongoni mwa wanafunzi hao kwa kudai kudharauliwa na waziri mkuu.wanadai kuwa wamemsubiri kwa takribani...
mimi ni mgeni lakini mwenyeji ktk jukwaa hili.kwanza nilikuwa mfuatiliaji wa nje sasa naomba mnikaribishe ndani.membaz wooote mnikumbuke ktk ufalme wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.