Search results

  1. ndogwila

    Wasanii kuhamahama vyama kipindi cha uchaguzi ni kutafuta umaarufu au wanatumiwa?

    Nashangazwa na tabia za baadhi ya wasanii kuhama chama na kujitangaza kwenye media.Nisichokielewa hapa ni kweli wanafuatilia siasa kiasi cha kuvutiwa na Sera za chama anachohamia au kutafuta umaarufu zaidi? Au wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kuvuruga misimamo ya watu kwa vile wanavyoviamini...
  2. ndogwila

    Computer & secretarial training at Kondoa!

    FLASHLIGHT TRAINING COLLEGE INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO YA COMPUTER NA SECRETARIAL.CHUO KIPO KONDOA MJINI. Mawasiliano: 0688434525, 0755358180. Wote mnakaribishwa.
  3. ndogwila

    Usaliti watawala udom

    habari zilizonifikia hivi punde zinaonesha hali kuwa mbaya zaidi ktk mgomo wa wanafunzi udom(coed)pale ambapo wachache wanaojipendekeza kwa wakubwa wa chuo kuingia madarasani huku wengine wakiendelea na mgomo na kusimamia madai yao ya msingi.hali hii inahatarisha maisha ya wanaharakati wa...
  4. ndogwila

    moto mkubwa UDOM{COED}

    Baada ya kile kinachodaiwa kushindwa kwa serikali legelege ya wanafunzi wa kitivo hicho, kusimamia msimamo wao wa wazirl mkuu mh.Pinda kuongea na wanafunzi wote,vilevile hasira kali zimeibuka miongoni mwa wanafunzi hao kwa kudai kudharauliwa na waziri mkuu.wanadai kuwa wamemsubiri kwa takribani...
  5. ndogwila

    habari kwa waungwana woteee

    mimi ni mgeni lakini mwenyeji ktk jukwaa hili.kwanza nilikuwa mfuatiliaji wa nje sasa naomba mnikaribishe ndani.membaz wooote mnikumbuke ktk ufalme wenu.
Back
Top Bottom