Mmmh Masasi- Mueda four hours??
Sina uhakika na hili...kipande kirefu ni Mtambaswala <>Mueda....hapo bado hujaitaifuta Mtambaswala from Masasi.
Mtambaswala ipo Ofisi ya Uhamiaji na ndiyo Center ya Mpakani ....nilishakaa kwa siku kadhaa,kwa hiyo if you are not sure with Mtwara/Masasi nenda...
King Kong III
Waswahili wanamsemo,jambo usilolijua kama usiku wa Giza.
Inawezakana humjui kweli au unamjua unataka kuleta ladha tofauti tu....kama ni Option ya pili/unamjua basi tuyaache...ila kama ni option 1/humjui basi tambua yuko kazini kama ajira.
Hint tu,jina Bushir ni la Mtaalamu yeye...
Je,kuhusu hili tatizo la password kua not saved...even several times hence failed registration..nn tatizo?
Taratibu zote za hint ya pswd characters zimefuataa.
Inategemea na Wakati/Hadhi/Kujitambua kwa Mwanaume.
Kati ya Jinsia ya Kike na Kiume.
Jinsia ya Kiume inaongoza kupenda tendo la Ngono kuliko jinsia ya Kike.
Kwa tafsiri kupenda(unyenyekevu),jinsia ya Kike inaongoza kupenda kama kupenda(not necessary sex) .
From there...dhana hii kupenda...
Umeongea vyema sana,Hongera.
Ni kama sinema fulani inachezwa,mtoa inawezekana hajaijua ila naye ni mmojawapo wa Washiriki wa Movie.
Swali la Msingi,Why Tanzania iwe mentioned kihivyooo?? Iweje ianze Mada yake kisha iwe connected na kujua what is going on TV against Mada?
Ninachojua,kuna Staff...
Sijajua kwa now days hawapendi kuprint karatasi ya salio kama awali.
Mwanzoni,nilijua wanaogopa issue ya kuelezewa ktk mitandao kwa ushahidi.
Ila hapa unaanza kunipa Idea mpya...
Hivi pale anaweza kudeduct kiasi na kuweka ktk account yake magumashi?
Cc: RRONDO
Thanks too.
Upweke unapotawala kwa kiwango cha juu;
*Utaujenga utajiri zaidi ya Bakhresa
*Utajipa Ufalme zaidi ya Ufalme
*Utajipa dhana ya kua Adui zaidi ya Maadui..
*Utapenda zaidi ya wanaopenda(hapa sasa ndipo utakapoanza kujenga appointment kisha ukiwa vizuri ni kutenda tu)
*Ibada...
Kadololo.
Zipo Thread humu zikijaribu kueleza miongoni mwa source wa tatizo lako...
Jitahidi yafuatayo;
*Kupunguza kukaa mwenyewe ndani kwa muda mrefu....
*Kua busy kwa shughuli na kutembea
*Ibada kuzifanya ktk nyumba ya Ibada kuliko kua pekee...
RRONDO:
Nitashukuru kama kesi ya Kimara kwa wanaoenda Mbezi ukapata muda ukaleta mrejesho.
Nina wasiwasi na wale abiria kulipa 800 pekee....
Wanafanya two entry case kwa mtazamo wangu.
Hapana Dada kesi ya Kimara inahitaji Maelezo kutoka kwa wahusika tena HARAKA.
Huyu anayeunga kwenda Mbezi napata shaka sijui kama analipa 650+150 inayotakiwa.
Pale Kimara,huyu wa kwenda Mbezi akishuka anafanya entry (ana scan) kisha akifika ktk mlango wa bus (ana scan)...umeona hili??
Hata...
Napata shaka sana.
Kama si hivyo yawezekana;
*650+ 400+400
*650+400+150
*650+ 400
Yawezekana ndiyo maana IDADI ya Safari na Makato inatusumbua ktk kadi na kua na SINTOFAHAMU kubwa.
Hopeful watakuja kutueleza .
Sawa kabisa kwa maelezo yako.
Ila pale Kimara tuna scratch sehemu mbili....
Je,au pale pa kupita kuelekea kwenye bus HUKATWI??
Kisha hiyo 150 inakatwa ndani ya gari?
Mind you,hiki king'amuzi cha gari ndicho kinachokata 400 unapopanda Mbezi.
Hili limekaaje??
Kama kuna button za...
Habari wakuu,
Natumai humu ndani wapo au watasoma wahusika wa UDART.
Nikiwa natoka Kariakoo/Posta naunga kwenda Mbezi, namiliki kadi nikifika pale Kimara nakwangua kadi sehemu mbili.
*Pa kupita kuelekea liliko bus.
*Ndani ya bus.
Je, nakatwa vipi hapo ili ije total Tshs 150?
Inabidi ufanisi uongezwe.
Hakuonekani Dalili za kufanyika KAZI changamoto zaidi kunaonekana Jitihada za kuongeza pesa tu,mwisho wa siku tutakuja kuambiwa kuna kikundi kimebeba bilioni kadhaa ndani ya Miezi Nane ya uendeshaji DART.
Kiukweli kunahitajika JITIHADA za kuongeza Ufanisi wa haya yanayo...
RRONDO;
Asante kwa Mchango wako.
Idea ndogo tu kwa sisi watu wa tinga tinga art...
*Hakuna Attention yeyote kwa wahusika.
Yaani pindi panapokua na tukio la UTATA hadi kuchukua Ushahidi,wale wanaozunguka lazima wawe na Attention na tukio wengine kutokea ktk CAMERA,ndipo mpiga picha apige.
*Picha...
Huyo Jamaa wa 3600,watu wamnote tu.
Nimeshakutana naye Morogoro Road kipande cha Rombo-Ubungo Maji.
Nilipomuona tu nilijua huyu msanii licha ya ulemavu wake alionao(kama mguu mfupi mmoja....).
Anachouzi analalamika kuhusu ndugu zake ;
*Amenyanyapaliwa kwa kukosa 3600
Hebu kwa mtu mwenye akili...
Gaza and Israeli,
Hebu tushauri zaidi kuliko namna ulivyoandika.
Vyema ukaanza na wachezaji wa hapa wafike zaidi yake inaonekana unajua mambo ya Mpira.
Hii kutafuta P kwa Samata atakapofeli ukasema ulishasema...ni unafiki wa kiswazi.
Sisi tunapaswa kua wa kwanza kumpa support adumu wengine waige...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.