Habari wakuu,
Natumai humu ndani wapo au watasoma wahusika wa UDART.
Nikiwa natoka Kariakoo/Posta naunga kwenda Mbezi, namiliki kadi nikifika pale Kimara nakwangua kadi sehemu mbili.
*Pa kupita kuelekea liliko bus.
*Ndani ya bus.
Je, nakatwa vipi hapo ili ije total Tshs 150?
Natumai humu ndani wapo au watasoma wahusika wa UDART.
Nikiwa natoka Kariakoo/Posta naunga kwenda Mbezi, namiliki kadi nikifika pale Kimara nakwangua kadi sehemu mbili.
*Pa kupita kuelekea liliko bus.
*Ndani ya bus.
Je, nakatwa vipi hapo ili ije total Tshs 150?